Yamekaa kujipendekeza tu tena naona enzi ya Mama kama wanapotezewa hivi Masanja alikua kishaona fursa kwa kuwa chawa wa shughuli za mwenda zake ila kwa upande wa kuchekesha mpango mzima ni kina ngoma nagwa, Mkali Tin,mkojani,kilangaso et al ndio wachekeshaji kwa sasa sio hao Chawa watafuta fursa mazafaka zao