technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana pamoja na kwamba liverpool wana timu bora na wanatakiwa kuwa mabigwa ila wanabebwa sana na VAR angalia mechi yao inayoendelea. duh.
ARV Inafanya juu chini Liverpool abebe ndooVAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana pamoja na kwamba liverpool wana timu bora na wanatakiwa kuwa mabigwa ila wanabebwa sana na VAR angalia mechi yao inayoendelea. duh.
Kijana sio ARV ni VAR weka maandishi yakk freshARV Inafanya juu chini Liverpool abebe ndoo
ARV =VAR 😂😂
kwa jinsi inavyo wabeba Liverpool sio Tena VAR nazani bora ibaki ivyo ivyo ARV
Hahahahah kwamba inawaongezea maisha ya kubaki kilelenikwa jinsi inavyo wabeba Liverpool sio Tena VAR nazani bora ibaki ivyo ivyo ARV
acha kabisa mkuu gori la Liverpool LA kushika na mikono limefutwa gori LA mbwa mwitu mtu kazidi kidore kimoja cha mkono Tena bora Ata ingekuwa mguu limefutwa
Pole sanaacha kabisa mkuu gori la Liverpool LA kushika na mikono limefutwa gori LA mbwa mwitu mtu kazidi kidore kimoja cha mkono Tena bora Ata ingekuwa mguu limefutwa
Toka ligi ianze hakuna magoli yaliyofungwa na liver VAR ikayakataa na yakafutwa?acha kabisa mkuu gori la Liverpool LA kushika na mikono limefutwa gori LA mbwa mwitu mtu kazidi kidore kimoja cha mkono Tena bora Ata ingekuwa mguu limefutwa
Goli gani liver alifunga VAR ikakataa?Toka ligi ianze hakuna magoli yaliyofungwa na liver VAR ikayakataa na yakafutwa?
yapo mkuu lakn Leo kaanza kushika van D kaja kashika lalana mane kafunga wakaweka kati ngoma ikaja mbwa mwitu jamaa kazidi kucha et offsideToka ligi ianze hakuna magoli yaliyofungwa na liver VAR ikayakataa na yakafutwa?
acha kabisa mkuu gori la Liverpool LA kushika na mikono limefutwa gori LA mbwa mwitu mtu kazidi kidore kimoja cha mkono Tena bora Ata ingekuwa mguu limefutwa