Valentine Story! Guess Who Is Getting Married? Marriage games

Kimya chenuuu chanitishaaa ndo kusema maneno yamewaishiaa au. Maanake hata wale wa kunitusi KIMYAAAA safari hiii. Ama kweli hili ni picha la KIMYA KIMYA
Lara 1 inaonekana una hamu ya kutukanwa pia
 
Tomorrow is another day!

Akafika ofisini, dady akamuuliza unataka kufanya kazi deprtment gani? I am very big here, i can make it happen, akasema tu marketing. Akampigia director of marketing akamwambia our new employeee nakukabidhi, make sure she grows her career. Usimtelekee, give her roals that will make her grow and evolve. Basi anaitikia yes boss mfululizooo. Basi Dady akamwambia incase of anything dont hesitate to tell me anytime.

Kafika kapewa ofisi kubwaaa, kabati, tv. Hr akamletea contract nono. Akasema moyoni tu Anny aendelee kuwa mzuri hivo hivoooo. Mashoga wazuri wana faidaaa si kidogo, kazi zilivo za shida akashukuru Mungu. Akakutanishwa na team, ya hapo wanampa orientation. Mchana akaja Anny kumchungulia, vipiiii? Umepapendaaaa! Akajibu nisipapende tenaaaa, aaaah, najiona nipo kama Mbinguni. Wakacheka chekaaa, akamuonesha sehemu possible za wedding anazozi consider. Basi wakapiga story mbili tatu akamuaga ngoja nikampe Dady cha ofisiniii. Destination wedding sio mchezoooo.

Sisca busy busy kuchat na MBA, kila akisema hii text ya mwishoo, MBA analeta more interesting topics. He had a way of being nasty in a classy way and it was amusing. Basi MBA anamwambia incase just incase ukiamua kunipa ill take you to levels you never been. Akamuuliza tu out of curiosity what levels do you think i never been? Akamjibu ill give you a 69 position! Hahahaaaaaa! Sisca akamjibu i have been on that level! MBA akapanda dau, basi nitakunyonya k mpaka u squirt. Mmmmmmh! Akastuka kwanzaaa isije kuwa mtu anachungulia, akabana miguuu.

Akamwambia mimi sipendi hio it is just unmanly, ujue wanawake sio kama wanaume eeeh, lot of shits inapitakule MP n all it is just pyuskiiiii! Yakh! MBA, namwambia fack that shit, mimi napiga dekiiiiii, you will like it, believe me. We nikubalie tutupeane rahaaa uta enjoy mwenyewee. I got a big dick too, na najua kuitumia. Sisca akamjibu hahaahahaaaaaa! MBA akamwambia you think im blaffing? Akamtumia picha ya kitu. Tobaaaaaaaaa! Akazima data kwanza kazi ziendelee.

Jioni jioni akawasha data, akakuta kamtex scared huh! Akamtumia vi emojii vya kuzomeaaa. Basi akamwambia mimi nipo level 8, leo come we chill out, akamdanganya yuko busy n shit, akamwambia if you change your mind,mi nitakuwa pale na wanangu team popo. Basi akawa kakaa home, akaicheki ile picha vizuri sasa, huyo akavaa kwenda level 8. Kufika kule akawakuta wako kikundi watu wazima badala ya kukaa na familia zao wanakesha full shangwe, full bataaaa! Basi kufika pale MBA akagoma kumtambulishaaaaa. Huku na huku kuna mkaka nerd mmoja alikuwa katika hio campany, akawa anamuangalia kichiziii, kila akimuibia jicha anakuta Nerd anamuangalia. Kuna mda MBA akaenda ku take a pee, nerd kamsogelea, anajitambulisha yeye ni Auditor, akamuomba namba ya simu.

Kwa uhuni tu akamtajia ya uongo, nerd si akaipiga palepale ikasema namba unayopiga haipatikani, akamkazia macho, ikabidi ajikoshe namba hio ya tigo imezima ngoja nikupe ya vodaaa. Looooh! Akampa na safari hii kama lilijua limepewa ya kweli halikuijaribu. Akaondoa tu. MBA karudi bata likaendelea. Mda wa kuondoka, MBA anamwambia twende tukalale kwangu! Hiiiii! Akamwambia wewe si una mke? Akamwambia mke wangu anafanya ile bank Mwanza hukoooo, so im free as a brid. twende nikakupe mambo.

Basi na ulevi ule, pombe zimekimbilia chini,akili yote inamwambia rudi nyumbani, nyege zinamwambai if you hadnt curved all niggas that hitted on you, you could be having a dick right now. We are not going home with you tonight. Akajikuta tu kakubali, atafanyaje ukubwa jalalaaaa.Akakubali wakaenda, akauta picha ya mkewe sebuleni, wanae wawili pale, picha ya harusiii. Fack shidaaa, huyooo akaingia chumbani. And the guy was good. He lived up to his reputation, K kanyonya kweli kweli si kutishiaaa, anameza kila kituuu. Kwenye ligi we can consider him a pro. Anamuandaa mtu mpaka anaomba mshedede mwenyeweeee. Na sio watu wa kubust in few seconds, anampa mshedede wa uhakikaaa, mpaka anamuuliza umfikaaaa, umeridhikaaa, na yeye ndo an bust. Haaaaaaaaaaaaaa! Ilikuwa champions ligi! Mwendo huo huo goli 4.

Asubuhi yuko hoiiiii, moja haikai mbili haisimamiii, akaomba ruhusa ofisini kabanwa na tumbo la kuharisha akarudi nyumbani kulala. Akasema amekomaaaa, sio kwa mechi ileee, haendi tenaaa, maana kwa mambo yake kuto fall in love na mwanaume wa design ile sio rahisi hata kidogo. Akalalaaa mpaka saa 7, akaamua awa text kina Anny na Angy kuna ubuyuuu wa sheikh Kipondaaa. Lunch date ikapatikana fastaaa.

Kufika kwanza sura yake tu, Anny akamwambia you had a di.ck last night, a very good one. Slutyyyyy! Akawaambia huo ndo ubuyu wenyweee. Nimeenda na MBA, damn he is good, so good, i can swer i have never had that di.ck in like years maybe since University. Wenzie wakabkia midomo wazi, haaaaaaaaaaaaaaaaaa! Anawapa details, wako he did that? Really! Wanaangaliana, huku wakisikiliza neno kwa neno. Balalaaaa hilo ujue wanamwambia. Anny anamkoleza finally umejua what you have been missing.

Angy akawaza mbali akamwambia wanaume wa hivo ni hatariii, hawatulii na mwanamke mmoja, wanakuwaga malaya malaya tu, leo yupo na huyu, kesho yule mradi tu they dont fancy going to bed alone. Anakuwa anaendekeza u legendary kwenye fani hii ya kupigana miti. Mmmmmh! Wote wakatafakariii, wakaona huenda ndio ya sio ikawa ndio au sio kiundani. Sisca akawaza tu, i wont see him again, it was a mistake, i should forget about him.

Angy akawataarifu tu, ndani mume kanunaaa haongei kisa ishu ya kazi. Yeye ashazoeaaa, anacheza na mwanae na kufanya yake. Atajijuaaa. Sema na game imesitishwaaa, mpaka ligi itakavoanza tenaaa.
 
Why do I feel like I'm gossiping? Sidhani kama umbea unakuaga hivi. Nikithibitisha hili nahalalisha Siku ya mwanamke kwenda kupiga umbea.

Nicely done!
 
hahaaaa bwahahaaa hahahaaaaaa
lara moko ..sio mzima aiseeeee nimecheka mtaa mzima umeskia mameee...daaaahh huyo mchaga alikuwa anatka mambo makubwa kumbe bure kabisaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom