Valentine Story! Guess Who Is Getting Married? Marriage games

Daaah...bunduki imegoma wakati wa tukio....noma sana.... Hapo lazima kichwa kiume
 
Kesho wameenda hospital wakakuta ,mgonjwa kazindukaaa, anaongeaaa fresh, sasa Angy aliechelewa coz ya uchovu akapitiwa akaenda saa 3 hiviii. Akaambiwa na mama mkwe mgonjwa kalaaaa aje baadae. Mmmmmh! Baadae kaja mchana na chakula akaambiwa mgonjwa ashakula, arudi na chakula chake, na kalala kaambiwa apumzike, akambiwa jioni asliete chakulaaa.

Jioni akaenda na Melissa, Melissa akaambiwa aingie yeye akae njeee. Baadae akambiwa mgonjwa kazidiwaaa, hivo hatomuonaaa. Akarudi nyumbaniiii. Usiku mama mkwe akaja kumwambia Angy mwenzio hataki kukuona naona unasumbuka bureee tu, sijui mmegombana nini kikubwa ila kasema hataki kukuonantena maishani mwake. Akamwambia sawaaa.

Moyoni akasema atakuwa anaenda pale kila subuhi, mchana, jioni mpaka kielewekeee. Wakamuhamishia TMJ. Kila siku kiila asubuhi, mchana, jioni yupo pale nanharuhusiwi kuingia wala nini. Watu wakija wanamsalimj, anadanganya nishatoka huko anaendelea vizuriii. Sa zingine anamsikia kabisaa anachekaaaa na kuongeaaa. Mama mkwe anakuja kukaa nae nje, anaumia lakini ndo hatakiwi na mgonjwa kule ndani atafanyaje sasa.

Siku ya siku ule mchepuko ukaja, ukajitia kumpa pole saaanaa. Mungu akutie nguvu, anaitikia tu. Ukaruhusiwa kuingia. Ulivotoka ukamugaaa, Mungu awatie ngubu sanaaaa. Akamjibu tu kwa hakika Mungu yupooo, hawahiii wala hachelewiiii anajibu kwa wakati wake. Asante kwa kuja kumjulia hali mwenziooo.

Mamamkwe akajua hatokuja tenaaa, sio kwa mgoni wake kutinga liveeeeeee! Asubuhi yupo pale liveeeee, kaka nje kama kawaida yake na kwenye nafasi yake. Hivo hivo mpaka wiki 3 zikaishaa akapata dischargeee! Na siku ya discharge alikuwepo pale nje wanamtoa anaangalia tu, wakampita mgonjwa kajikausha kimyaaa! Mama mkwe anageuka geukaaaa sema afanyaje sasa.

Akarudi zake nyumbaniii, ila akajua tu ya safari hii yamefikaa mbali, hayawezi kurekebishikaaaa tenaaaaa. Ile kitendo cha kunusurika kumfia kikamfanya sumu yote imtoke, awe yupo yupo, Hana kinyongoo, hana nini, yupo mradi yupoooo. Mwanaume akaenda kukaa kwao kwa mama yake.

Sisca huku siku hio kaambiwa jiandae jmosi kuna sehemu nataka twende, anamuuliza wapi? Anaambiwa utajua huko huko. Mmmmmmhhhhh! Akawa kavaa tu nguo zake za kihasara hasara, akaambiwa nguo hio haifai. Akawa kanunaaa, kubwa la maadui kaingia kabatini kamtolea gauni refu vaa hiii. Akaona isiwe kesi avae tu.

Vuuuuuu, mpaka kwa kwao kumbe, ndo kaenda kutambulishwaa. Akawa angaa sharubuu tuu. Kakaaa sebuleni ugeni ugeni uleee, kubwa la maadui linamwambia nenda jikoni kapike na mkweo muanze kumalizanaa mapemaaa! Hahahaaaa! Basi anaenda ana wasi wasi. Mamkwe anamwambia wewe kaaa tu hapo mwali wangu, nitakupikia, nilivosubiri mwali kwa hamu si kidogooo.

Basi anamuuliza tu, unafanya kazi gani? Kwao wapi hivoooo yani. Anajibu kwa heshimaaa kabisaa, hapana chezea mama mkweee. Wakakaa mpaka saa 4 usiku, akajua wanarudiii, hamna kituu, akaambiwa tunalala huku huku.

Basi akapewa kanga na mkwe usikuu, akaoga akawa anataka kuwapisha waongee mama mtu na mwanae, akawa kaenda chumbani kwa wifi yakeee. Wifi mcharukoooo. Anamsifiaaa, hii lace wigi wifiii, akamwambia ndiooo. Utaninunulia na mimi. Akacheka tuu. Na hii saa yako nzurii, naiombaaa! Akamwambia chukua. Simu yako samsangi? Utaninunulia na mimi touch! Mmmmh! Akawa anamjibu tu kiustaarabu, si unajua tena kubembelezea ndoaaa.

Akawa kalala washashusha neti kabisaa, mara kaja mkweee. Mwanangu kalale na mwenziooo atasikia baridiii. Akajikaushaaa, mama acha tu nilale hukuuu na wafiiii, akasikia fanya tukalale bwana ulale na wifi vipi, mimi nilale na nani.

Mmmmh! Akaona kweli hii familia sugu. Akajizoa akaenda kulala chumba cha kubwa la maadui. Akajua ukweni watalala kwa amaniii. Anaona kubwa la maadui anamgusa gusa. Akamwambia mbona unanishushia maxi ndugu yangu ukweniii, mambo ganiiii. Akamwambia yaani mama kakupendaaa, kakusifiaa, basi ndo kanitia nyegeee ni balaaa. Si eti mke wanguuu.

Anamwambia heeee kanisifiaa? Enheeeeee! Akamwambia mweo hana makuu, anaelewana na watu wote mpaka ndugu wa marehemu mumewe wanamuongelea vizuri, so yeye kila mtu kwake mwemaaaa. Sema basi tu vile amekukubali, na nyege zangu za kawida tu nakuwa im so horny baby right now, itabidi unipe hata kimoja cha kimya kimyaaa.

Anamwambia bwanaaa, nyumba yenyewe moja hiii, watatusikia we mwenyewe unajijua shoo ya kibabe, nitaanza kupiga mikele humu mpaka mkwe aje humu. Hamnaaa kidogoo tu, baby dont spoil this for me, dont make me beg bwanaa, akanza kunuaaa, kubwa la maadui nae.

Ikabidi tu ndo akubali kiutu uzima kumpaaa, atafanyaje sasa na ndo ashaamua. Basi kaanza kweli kula kistaarabu akanoa hataa, hanogewiii, akajikaza hivo kula cha kimya kimyaaaa. Asubuhi wakaondoka, akawasindikiza mkwe, mkarimuu, anamwmbia uwe unakuja kunichungulia mkweo, Nipe namba yako niwe nakujulia hali.

She was happy! Not exactly kama alivofikiri itakwa but she was happy.

Anny kaamka asubuhi akafikiria alivomtimua Lawyer, akajisikia vibaya kweliii. Akaona alichofanya sio utu, ukizingatia mangi mwenyewe mshamba mshamba, dfenceless, han hiana na mtu akajiona hakufanya vizuriii. Ku sawazisha mambo akaamua ampigie ila akiwa na shka kubwaaa kama simu itapokelwaaaa.

Simu kuita na kuita ikapokelewa, Eeeeh, Anny my baby unaendeleaje. Mchaga kapanic, akamwambia nakusalimia tu, nimekumiss sanaaa, jioni twende ile dinner yetu ya janaa, si unajuaaaa jana haikukamilikaa, basi Mangi yule anakubali kweli kabsaaa Anny, nitakupeleka ile hoteli ya hapa posta Serenaa hotel. Nzuri snaaa ileeee, mangi anajimiminaaa kama sio yeye alieuza mechi janaaa.

Akawa anamchembezaa kweli baby wangu, basi mi nasubiriiii. Katoka ofisini mapema mnoo kajiandaa, Mangi kaja na suti leo, suti ilele aliyotoka nayo mahakamaniii mchana. Loooh! Suti haielewekiii, chini kapiga moka za wachaga wenzie wa kariakooo. Akaona atleast sio casual ya janaaaa.

Wakafika kule, akaagiza masalad salad sababu weight issue, Mangi anakula ribs hajibani kabisaaa. Wakawa wanapiga story, Mangi ndo kumsimulia anakula paleee lakini roho inamuuma sanaa, maana huko uchagani alipata sanaa shidaaa, mpaka kuna kipindi ikabidi awe anabana maviii, ili asisikie njaaaa! Hahahaaaaaaaa! Anny anamwambia Mangi bwana wewe muongooo habari zako zingine. Anamwambia kweli unafikiii unafirikiii Anny, usione mimi nipo mjini sahii ni juhudi sangu aiseee. Ndo maana sichezei hela.

Anny anamwambia hapa kwa mbondei umefika, hela utatoaaa, na utaitumia ikuzoeee. Mangi anajiongeza, kwa wewe mama yangu natumia hela yoyote ile, wala sioni ishu, ila sio ndorobooo wengine wale hela yanguuuu kirahisiii rahisiiii. Hahahaaaaaaaaa!

Wakahama kiwanja, mpaka level 8, kunywa kunywa sanaaa. Mangi kama sisi mangi wenzie pombe anapendaaa. Akilew ndo haongei kabisaaa, anasinzia tuuu. Ikabidi Anny arudi nae mpaka kwake, wakalala. Asubuhi Mangi kushtuka yupo na mtoto Anny akaona hataaaa, hapa yatajirudia ya juzi, saa 9, kawahi kuoga ooh kuna client ni mkubwa sanaa, sijaaandaa minutes, ngoja nikaandae alfajiri hiii. Anny akamwambia hayaaaa!

Mangi akawa ka save kiaina hio.

TUTAENDLEA KESHO
 
Huyo Mangi Lawyer Anaiaibisha Our Noble Profession.
I Would Have Fuc*ed That Woman Till Her Ovaries No Longer Works.
A Sold Out Concert At Madison.Square Garden.
 
hahaha lara 1 Mangi ni hatari nimecheka hiyo style alokuwa anaitumia ili asisikie njaa.
 
Hahahaa binduki imejam katikati ya vita...sijawahi ona show ya kwanza kapaniki mpaka abdallah kazingua,huu ni uzembe uliotukuka...
Acha kabisa hiyo mambo!! Uneven elezea mwaka mzima ushakata tamaa sasa uniambiwa hiyo hapo kula....!!!
 
Story ina mikitano utadhani series ya Spartacus......... Halafu episodes zingine mpaka nahisi unanisema vile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom