The power of new beginings!
Anny aakawa yupo busy planning the big day, akawa kashaongea na dady aende U.s kuangalia designer colections za msimu huo. Daddy akawa kakubali kabisaaa. Na akawa ana debate afanye beach wedding au destination wedding.
Wakawa wamekutana for brunch kujadili what colors, sare, decor na mambo kama hayooo. Basi wakajadili pale sababu hela ipo, kila kitu kikawa kinaenda fresh. Baadae ndo kumuelezea ile kazi ipo ofisini kwa dady. So atalipwa vizuri, na hakutokuwa na ishu yoyote wala nini.
Angy ndo akamwambia Anny, Sisca met this guy he was cuteee! Way too cute sema kampotezea coz he is married. Anny akawa anampa tu, we jilegeze utazeeka nyumbani, ndoa kwa mkewe kwani wewe tatizo lako nini? Kama ingekuwa yeye Anny, anavoona angeungana na Johny deep kwenye usemi wa "If there is a man who is inlove with 2 women, and has to chose, he really loves the second because if he loved the first he will never have noticed the second. So anachezea bahati, mtu anaweka ndoa yake kwenye line ili wawe wote bado anaona hiko ni kitu kidogo olaaaaaaaa!
Wakaongea pale na kuhusu mume jeuri wa Angy, akawa anawaambia siku hizi namjibujeee, nampa za uso, hata simuogopi, akinianza tu nammalizia. Hahahaaaaaaa! Wakacheka. Anny akamwambia wewe jibu sanaaa tu, siku ukute bag yako iko nje. Hahahaaaaaa! Akamwambia weeeee, navunja mlango. Asintanieee.
Baadae wakaagana kila mtu akarudi ofisini, Angy akarudi nyumbani kumpeleka mtoto piano classes. Sisca kufika ofisini akaambiwa kuna mgeni wako alikujaa. Akajua wa kikazi. Akauliza nani, akambiwa flani! The maried guy! Akastukaaa! Akauliza alisema anataka nini? Akaambiwa hajasemaa but kasema atarudi tenaaa. Akamwambia akija mwambie sipo.
Mda wa kutoka anashangaa anaitwa Siscaaa, kugeuka the married guy, akajibalaguzaa. Akaulizwa why are you avoiding me? Tuko na tatizo? Akajikosha hapanaaa, didnt know it was you. Basi MBA (Married but available) hakukawiza akamwambia lets go for drinks somewhere. Sisca akamwambia tu, well natamani but i cant , sipendi drama, tunaweza kukutwa tumekaa, nikapigwaa, kutolewa kwenye tabloids, i really pass.
MBA anakomaa sio kihivooo, i just wanna talk and be friends, sipo huko ulipo! We can go somwhere my wife hatogundua. Hiiiiiii! Trust me. Alingangania sanaa akaamua tu aende akasikie hilo la huko. Kufika kule, he was really nice, and she missed company kiukweli. Ukizingatia the guy was hot, watu wanangali mambo yakawa bambam. Tofauti alivohisi ataboreka akajikuta kaenjoy kichiziii. Story hii, story hii,mara wacheze music saa 7 hii hapa. Wakaagana. Ila MBA safari hii alijibipu na simu ya Sisca.
Akarudi home hoiii, akiwa kachangamka lakini full of life. Akakuta missed call 6 za Anny. Akasema atampigia kesho. Mara Anny akapiga, you are such a slut my friend, nimekuja ofisini nilitaka unisindikize mahali, nikakuona na MBA, ooh my God, he is cute, nikajibanzaa tu sikutaka kuharibu picha. Nikawaona mnaongozanaa, please tell me you got laid! You cant pass that di.ck. It is evil! and dispeakable! Hahaaaa! Akamwambia hamnaaa we just talked! Anny anagomba talk what bwanaaa, mume wa mtu ukimpata jivinjari, hana time na wewe jivinjariiii, anakudanganya jivinjariii. Sisca anamwambia it is not good, ana mkewe. Anny anakuja juu mke kitu gani wewe, wewe mambwana wangapi umeporwa mpaka leo hii? Ishu kuporana mabwanaaa. Mke mwenyewe alimpora kwa mtu, wewe unamdokolea yeye, hivo hivo siku zinaendaaa. Hahaaaaa! Wakacheka tuuuu. Anny anamwambia if you werent too proud you could be having a di.ck right now, hot sexy, steamy night, ila sababu ni zobaa lala bwanaaaa. Mi nishaukalia wa daddy round 1 kiuno chote hoiiii nangoja round 2. We lala na kikoko hicho ndo ushaharibu. Hahahaaaa!
Angy huku mume karudi na mshawasha akawa anamwangalia tu, mume kakumbuka zawadi ya mtoto siku hio, anauliza nini kimeisha kwenye friji, rangi imechakaa hii, kesho nitamleta fundi sijui nini. Sababu anajua atamtibua na kwenda kazini asubuhi, akaona usiku huo ampozee kwanza. Basi akawa ane anacheka na kujiongelesha, kama yamekwisha kabisaaaa. Hadi wanataniana.
Akwa anawaza tu, kweli siku hazifanani, siku zingine Mungu anakuona kama hivi, siku zingine shetani anakukalia kooni basi tabu tupuuu. Hapa mambo yakienda vizuri huenda nikapewa mechi leo, sijuiiii, ngoja nijioneee. Akamtengea chakula fresh, basi anasifia hiki chakula umepika mke wangu kitamu sanaaa, unajua kupikaaaa.
Hakufanya ajizi wala nini, kaenda kuoga fastaa, kajifukizaa marashi, akataka kuvaa bikini set akaona akishushuliwa ataumbuka sanaaa. Akaona tu bora avae dira, maana aibu zingine za kiutu uzimaaa. Akawa kajilaza anasoma gazeti la mwaka arobaini na sabaaa. Anazuga tuuu.
Baba la baba kaja, straight bafuni, wala hakuchukua taulo katoka huko moja kwa moja kitandani, kaanza kuushika mzigo mwenyewe bila mizunguko. Sababu nae Angy nae alikuwa kammiss, akaonesha ushirikiano wa hali ya juu. Mechi kali ikachezwa. Kama sio wao waliotifuna juzi. Saa kumi kamshwa tena mzee anataka cha asubuhiii, kama kawaida bila hiyanaaa kaonesha ushirikiano. Baadae baba la baba kaenda kuoga, Angy nae bafuni humo humo, baba la baba akajua mahaba niteketezeaaa, kampa kingine cha bafuni, akajua wakitoka kuoga hoi atalala, ili baadae amuandae mtoto shule, manake yeye anadamka ga sanaa kuwahi kazini.
Wanatoka kuoga anaona mtu anatoa seti mpya ya chupi za maana na sisiria anavaa. Akashtuka kwanzaaa, akaamua akae kimya. Anaona mtu anajipaka mafuta hana stress, akakaa kimya, akaona anajipaka foundation, make up, ikabidi amuulize hizo date zenu za umbea umbea mmenza kukutana alfajiriii? Mbona unavaa, unajiandaa, mimi nitakuja kukukataza haya mambo ya mashoga, alfajiri yote hii unaenda wapi.
Akamwambia mi naenda kazini, nimepata kazi. Mwanaume kadakia nini? Unasemaje? Nimeanza kazi ndo naenda ku report. Hahahaaaa! Akacheka, huo umbea wenu sasa too much mpaka alfajiri au mnaenda kuniloga kwa mganga leo, anajitia kutania tania. Angy akavaa kisuti kifupiii juu ya chupi tuuu, bila tight wala nini. Mumewe anamuangalia tu. Hivi kweli unaenda kazini? Ndio kweli baby nimepata kazi. Na hukuona umuhimu wa kuniambia au kujadili hio kama mumeo humu ndani? Angy akakaa kimya. Sasa mimi mumeo nasema hakuna kufanya kazi. Huli humu ndani? Huvai? Husuki nywele za gharama? Sikupi hela za kuchezea kwenye botiques. Mimi kama mumeo nasema vua nguo ulale hapo, na kulea mtoto.
Angy akajipulizia perfume, akanyanyua mkoba, akamwambia baby tusigombaneee, kuna leo na kesho, leo upo nashukuru sijawahi kupungukiwa, ya kesho anayajua Mungu, kazi ni jamba la neema, tuna mtoto huyu huwezi jua, sikukwambia kwa mambo kama haya, badala ufurahi mkeo naenda kazini, hata ukikwama nitakuwepo kukuboost, lakini ndo hivoo kashfa juu ya kashfa. Mi naenda bwanaaa. Kwa hio ndo unaenda kuanza kazi na bikini tupu ndani ya kimini afu mume nikae nafurahiii, unanikalia kichwaniii si ndiooo, wewe nenda ka resign tu, huu mjadala haujaisha.
Akamuacha dada maelekezo cha kufanya, huyooo ready for the first day in the office.
ITAENDELEA SAA 1 USIKU.