somtimes kitu cha furaha chaweza kusababisha huzuni kwa upande mwingine. Tangu nimebalehe miaka kumi ilopita nimewahi kupenda mara mojatu.nilikua form two, swithat wangu akahama nchi akaenda nchi ya jirani, nikabaki mpweke.toka wakati huo
sijawah kufal in love na nikawa na nimpendae kwa dhat.
Inapofika wakat kama huu wa valentine hua ni huzuni kwangu manake hutamani ningekua namtu ambae moyo wangu unahisi fahari kwake lakini sinae.
Jana nikiwa nimekaa na washakaj zangu wakati wa lunch kwa ofisi wakaanza kupanga mitoko ya valentine na wapenzi wao. ilinibidi nisichangie, lakini wakaniuliza vp mbona sikua natoa wazo lolote!!.........
Point ni nikua inapofikia wakati kama huu wa valentine au wakati mwingine wowowte moyo wangu hutamani sana ningekua na mtu ambae nampenda dearly lakini no one na nachoshangaa nawaona wadada weni sana warembo ila si fall.
Hivi hii ni kwa nini??
Nawatakia VALENTINNE NJEMA nyote.
sijawah kufal in love na nikawa na nimpendae kwa dhat.
Inapofika wakat kama huu wa valentine hua ni huzuni kwangu manake hutamani ningekua namtu ambae moyo wangu unahisi fahari kwake lakini sinae.
Jana nikiwa nimekaa na washakaj zangu wakati wa lunch kwa ofisi wakaanza kupanga mitoko ya valentine na wapenzi wao. ilinibidi nisichangie, lakini wakaniuliza vp mbona sikua natoa wazo lolote!!.........
Point ni nikua inapofikia wakati kama huu wa valentine au wakati mwingine wowowte moyo wangu hutamani sana ningekua na mtu ambae nampenda dearly lakini no one na nachoshangaa nawaona wadada weni sana warembo ila si fall.
Hivi hii ni kwa nini??
Nawatakia VALENTINNE NJEMA nyote.