WAKUNJOMBE
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 609
- 619
Wana jamii nauliza tu...
Nina tatizo na KM/H kwenye vyombo vyetu vye usafiri,Naomba waandisi mnisaidie
Mfano pikipiki ikiwa 80km/h na Landcruser V8 ikawa on the same speed,
Je wanafika ponti B ata the same time?
Assume imetoke wakakutana katika speed hiyo
Maana kunawatu watasema ooohh wakianza cruser itakuwa mbele.
Asanteni
Nina tatizo na KM/H kwenye vyombo vyetu vye usafiri,Naomba waandisi mnisaidie
Mfano pikipiki ikiwa 80km/h na Landcruser V8 ikawa on the same speed,
Je wanafika ponti B ata the same time?
Assume imetoke wakakutana katika speed hiyo
Maana kunawatu watasema ooohh wakianza cruser itakuwa mbele.
Asanteni