Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,815
- 33,486
mkuyati og , ahsante sana mkuu kwa michango yako ambayo inatufunza mengi. Nina hoja zifuatazo, naomba usichoke kutupa elimu...
(A) Umeeleza kwamba ''ANTIBODIES do differ, in class, type and function. Even antibodies of the same class or type also differ depending on aina ya mdudu. Antibody test ya HIV ni specific to antibodies against HIV. ''
Nimeelewa vizuri sana mkuu, ila nina concern ya nYongeza: Kuna madai kwamba hizo 'specific' antibodies against HIV zaweza pia kuwa produced due to infections zingine kabsa mfano MARALIA. Pia kwamba MIMBA yaweza sababisha mwili ukaproduce hizo 'specific' antibodies against HIV !! JE UNALISEMEAJE HILI ??
(B) Umeeleza kwamba ''viral load ya HIV ni specific to HIV virus, haiinclude virusi ama wadudu wa aina nyingine''. Je hii inamaanisha kwamba kirusi wa HIV anaonekana physically (to be isolated) kabsa ili kupima/kupata viral load yake?? na Je ni kipimo gani kinachopima hiyo viral load?
Alafu kwa vile 'VIRAL LOAD' ni specific to HIV virus only, na haiinclude virusi ama wadudu wa aina nyingine (according to you), basi nadhani walitakiwa waiite 'HIV LOAD' ili kuwa 'specific' coz mwilini kuna virusi/wadudu wa aina mbali mbali. Mtazamo wangu.
(C) Umeeleza kwamba... ''The only scenario ambayo antibody test inakuwa sio conclusive ni pale ambapo utampima mtoto chini ya miezi 18 waliozaliwa na mama wenye maambukizi ya HIV sababu kipindi cha mimba na wakati wa unyonyeshaji antibodies hizi hupita na kufikia mfumo wa damu wa mtoto hivyo ukipima wakati huu unaweza kupata a false positive test maana antibodies ulizopima ni zile zilizotoka kwa mama ...''
HOJA: Just by common sense... mama mjamzito kutest HIV+ ni lazima/must pia na mtoto atazaliwa akiwa HIV+, maana mtoto akiwa tumboni anashea damu, oxygen, chakula n.k kutoka kwa mama. BUT mbona kuna wajawazito wanatest HIV+ na hawatumii ARVs ila wanazaa watoto HIV- ????
(D) Mkuu pia umetuelimisha kwamba... ''virus vya HIV pia hutofautiona kwa types na jinsi gani vina uwezo wa kusababisha dalili za ugonjwa haraka, ... Inategemea tu huyo anayekupa atakupa aina ngapi, ndio maana hata wawili wenye maambukizi bado tunashauri watumie kinga ili wasibadilishane virus wapya...''
SWALI: Je mpaka sasa, kuna types ngapi za huyu kirusi wa HIV? Je ni kweli kwamba hizi types za HIV hutofautiana kwa eneo na eneo? i.e. bara na bara (yaani regionally), mfano nasikia eti HIV wa Africa ni tofauti na HIV wa America or Europe, pia nasikia eti HIV type ya East Africa ni tofauti na HIV type ya West Africa. Hii ikoje mkuu
BY THE WAY, nilitegemea kwamba dunia nzima kungeenea Kirusi cha HIV aina moja tu kile kile kilichogunduliwa by Dr Luc & Gallo !!
(E) Kuna baadhi ya watu wanatest HIV+ na wanakaa bila kuugua (very healthy) kwa muda mrefu tu, i.e. huyo kirusi anakuwa harmless mwilini kwa muda wa miaka 10 au 15 ndipo mtu anaanza kuugua AIDS!
My concern now... mbona huu ni mda mrefu sana?? Hili wewe halikufanyi ufikiri tofauti (just to think out of the box) kuhusu HIV/AIDS hypothesis?
(F) Kuhusu ''denialism''.
Mimi binafsi sijawahi kusikia either HPV denialism! wala HEPATITIS B denialism! wala INFLUENZA denialism! n.k (I stand to be corrected). But nimekuwa nikisikia kuwa kuna HIV/AIDS denialism by competent/expert personnels of medical science. Why DENIALISM on HIV/AIDS, and not other many viral diseases?? Hili wewe halikufanyi ufikiri tofauti (just to think out of the box) kuhusu HIV/AIDS hypothesis?
Elimu muhimu sana hii. Usichoke kutuhabarisha mkuu.
Namshukuru pia mkuu Deception kwa kukubali uchokozi ili kushea knowledge katika suala hili.
.... ARVs kama dawa zingine pia zina madhara hasi kama zilivyodawa nyingine, and this is unfortunate ila kwa bahati nzuri inatokea kwa wagonjwa wachache (hasa pale wanapoanza kutumia dawa [na hili lina kamsemo kazuri tu "kuwa mwanzo mgumu"]).....
...... Na hii ndio imefanya kwa kiwango kikubwa maisha ya watu wetu yameboreka. Hivyo si sahihi na ni UONGO ambao inabidi tuukemee kuwa ARVs ni fatal zinaua kinga na kusababisha UKIMWI....
........
Madawa ya HIV(ARVs).
.........
Kwa kifupi hata ukimchukua mtu ambaye ni HIV- na ni mzima wa afya halafu ukampa ARVs baada ya muda Fulani ataanza kupata side effects ambazo kama utaendelea kumpa ARVs na hutamtibia hizo side effects hatachukua muda atakufa.ARVs ni sawa na dawa za cancer mahospitalini,ukimpa dawa za cancer(chemotherapy) mtu mwenye afya ambaye haumwi chochote,baada ya muda Fulani Yule mtu atapata cancer.Hivyo basi,ARVs zinasababisha ukimwi kama dawa za cancer(chemotherapy) zinavyosababisha cancer.Matatizo ambayo tumeambiwa kwamba yanasababishwa na HIV si kweli kwamba yanasababishwa na HIV na badala yake yanasababishwa na ARVs kwa wale wanaozitumia........
Mtu anapotumia ARVs kwa muda mrefu anakuwa hatarini kupata madhara yafuatayo:
I/. Matatizo ya moyo
II/. Matatizo ya ini
III/. Matatizo ya figo
IV/. Cancer/Saratani
V/. Anaemia/Upungufu wa damu
VI/. Kisukari
VII/. Stroke/kupooza
Mara nyingi na karibu mara zote haya ndio matatizo yanayosababisha vifo kwa wale wanaotumia ARVs.Matatizo yote haya hayawezi kusababishwa na HIV,huitaji kufika chuo kikuu ili ufahamu kwamba matatizo haya hayawezi kusababishwa na HIV(magonjwa haya sio 'infectious',hivyo hayawezi kusababishwa na huyo HIV).Kama mtu haamini basi afanye utafiti wake mwenyewe kwa wale wanaotumia ARVs ambao hali zao ni taabani,atajua tu.....
.......SI SAHIHI kusema kwamba HIV/AIDS.Bali NI SAHIHI kusema kwamba ARVs/AIDS.
HIV anasemekana kusababisha magonjwa zaidi ya 30 kama yupo mwilini lakini kama hayupo mwilini basi sababu za magonjwa hayo zinahusika zenyewe.....
Hebu tuchukue mfano wa ARVs mojawapo inayoitwa Tenofovir Disoproxil Fumarate(TDF) ambayo inatumika na wagonjwa wengi wa AIDS.
Dawa hii kwenye warning zake inasema "It can cause serious, life-threatening side effects. These include lactic acidosis and severe liver problems."
Kiwango salama cha acid/alkali kwenye damu(yaani pH) ni 7.365,maana yake damu inatakiwa iwe slightly alkaline ili kinga ya mwili iweze kufanya kazi yake vizuri.Chini ya kiwango hicho ni majanga matupu,utakuwa na magonjwa yasiyohesabika na yasiyoisha mpaka unakufa.
Sasa kama acid itajijenga kwenye damu yako,maana yake pH ya damu yako itashuka na kuwa chini ya 7.365.ARVs na specifically hii TDF ndivyo inavyofanya kwenye damu za wale wanaoitumia.TDF inaongeza kiwango cha acid kwenye damu.Acid ni sumu kwenye damu,acid inapokuwa nyingi INI haliwezi kufanya kazi yake inavyotakiwa na ndio maana kwenye dawa hizo, severe liver problems imetajwa kama mojawapo ya effects.
Pia najua unajua ya kwamba kama damu ina acid nyingi,hewa ya oxygen inapungua sana hivyo seli za damu zinakosa oxygen ya kutosha kufanya kazi yake,najua unajua nini kinatokea kama seli za damu zitakosa oxygen.Hata wewe mwenye ukikosa oxygen unajua kitakutokea nini.
Sasa kutokana na ukweli huo,Je,ARVs hazisababishi mapungufu kwenye kinga?Na kutokana na effects hizo ndio maana magonjwa mengi sana huzaliwa kwa wale ambao wametumia ARVs muda mrefu.Baadhi ya magonjwa hayo ni kama vile;
-Cancer:Ukimpima mgonjwa yeyote wa cancer lazima utakuta damu yake ni acidic(yaani pH yake ni chini ya 7.365)
-Ini
-Figo
-Anaemia
-Heart disease
-Kisukari nk
Don't take my words,Fanya uchunguzi wewe mwenyewe kwa wagonjwa wote waliolazwa mahospitalini ambao wanatumia ARVs,lazima utawakuta na moja/mawili/matatu.... kati ya magonjwa niliyotaja hapo juu.
Kuhusu cancer,usifikiri kama zile NGO za mambo ya HIV/AIDS zilivyoanzisha kitengo maalumu kwa ajili ya cervical cancer kwa wanawake ilikuwa ni coincidence.Hiyo cancer inasababishwa na ARVs,fanya uchunguzi wewe mwenyewe kama una muda.
Hivyo basi,nataka nikwambie kwamba ARVs zinasababisha AIDS,hii sio speculation,its real.
ARVs side effects: https://www.youtube.com/watch?v=GokUme9x07E
ARVs side effects: https://aidsinfo.nih.gov/drugs/290/tenofovir-disoproxil-fumarate/0/patient -Hii website hutumiwa na CDC kutoa taarifa mbalimbali,hivyo kilichowekwa humu kimetoka kwao wenyewe wanaofanya biashara ya ARVs.
Attachment:scientific paper:HIV/AIDS acquired by Drug Consumption and other non contagious risk factors.
nimefanyahizo kazi na nimemuona huyo mdudu. huwezi kumwona yeye akiwa mmoja maana iliuelewe virus walivyo lazima uwe na base nzuri ya sayansi sana sana ya afya. sasa ukisikiliza anacdotal za uuongo za you tube ambaazo kila mtu youko huru kuweka anachoota hatuwezi kufika.ukifanya PCR utamwona lakini ipo njia ya kupanda wadudu na kuwaisolate ambayo hatuwezi kufanya nchini kwetu sababu ya technolojia. pia HAPA tanzania electronmicroscope zipo kwa mkemia na UD. hatuangalia virus kwa kutumia electrn microscope wala hatutumii light microscope. zipo special laboratory technique ambazo zinaelezea jinsi ya kuactivate cells is uweze fanya culture of virus
article niliyokutumia hapo juu inajibu maswali yote ingawa sifa ya much know huwa sio wasomaji na najua hujasoma ndio maana unaendelea kubisha. sifa kubwa ya much know ni kutokuwa msomaji na kama ni msomaja basi huwa anajiwekea confort zone nikimaanisha kusoma vile vinavyoendana na ideology zake. science is proving your hyothesis wrong or right. this can be done through several researches and reading different ideas on the same thing
jamani nimeweka link inayoprove
hiv husababisha aids na mambo mengine mengi. nasubiri kujua wangapi watasoma na kutoa maoni. ukimya huu unanifanya niamini kwamba sisi ni kizazi kolichozoea kutafuniwa (spoon feeding). nimesema kabisa kwamba hoja zote zilozotolewa humu ziko ndani ya hilo bandiko, kama zilivyo, pamoja na majibu yake kisayansi na ki statistic na epidemiologically. tukubaliane, hapa tunaongea kuhusu scientific proof, na sayansi hujibiwa kwa sayansi na si kwa siasa kama wengi wenu mnavyotaka.
nawawekea tena hii link
PROOF THAT HIV CAUSES AIDS
Bro, najua wewe ni mwelewa na unapenda kujifunza zaidi. Njia sahihi ya kujibu hoja ni kutoa hoja ila kama nilivyosema mwanzo hii ishu ya HIV - AIDS ni Pana sana. Ugumu mwingine ni juu ya lugha, kiswahili hakina misamiati sahihi na ya kutosha kuelezea yote yanayopasa kuelezewa kwa usahihi Bila mkanganyiko. (ref. Mkanganyiko wa ukimwi wa HIV na "ukimwi mwingine"). kwa kubeza," understandably", umeita watu humu "learned brothers" sio kama complement kwao, Bali kama njia ya kuonyesha dharau.
Sasa, hoja hujibiwa kwa hoja. Conspirators humu wameibua hoja zao kwa kujifunza kupitia uelewa wao wenyewe,, Lakini pia kwa kutumia sources za mtandaoni.
Sasa basi, kwako wewe na wale wote ambao understandably wana doubt kwamba HIV haisababishi AIDS, naweka proof beyond reasonable doubt kwamba HIV husababisha AIDS.
FUATILIA HII LINK HAPA CHINI, KAMA UMEKUJA THIS FAR NAAMINI WEWE SIO MVIVU WA KUSOMA, MAANA WEWE NI LEARNED BROTHER, PA KINGEREZA KILICHOTUMIKA NI RAHISI KWA YEYOTE KUELEWA HIZI SCIENTIFIC FACTS AND REASONS
NB: pamoja na kueleza kwanini HIV inasababisha AIDS, pia article hii inajibu maswali yote juu ya conspiracy za ukimwi. Maswali na hoja zote zilizo humu jamvini majibu yake ni ndani ya article hii, kila swali lililoulizwa humu kama lilivyo na jibu lake papo hapo
PROOF THAT HIV CAUSES AIDS
Mie nimesoma na nimekutana na hiki kitu,
"in many developing countries, where diagnostic facilities may be minimal, healthcare workers use a World Health Organization (WHO) AIDS case definiton based on the presence of clinical signs associated with immune deficiency and the exclusion of other known causes of immunosuppression, such as cancer or malnutrition. An expanded WHO AIDS case definition, with a broader spectrum of clinical manifestations of HIV infection, is employed in settings where HIV antibody tests are available."
Hiyo paragraph imeniachia maswali, hivi ni kweli wataalamu wetu wa afya wanajua wanachofanya? au wanafuata muongozo fulani hivi kutoka kwa wenyewe kwenye hili suala la HIV? Si ndio hawahawa walimpasua mtu kichwa aliyekua anatakiwa kupasuliwa mguu?
Kwa upande mwingine, kwa nini hawa wanaopingana na conventional wisdom on hiv-aids, wanabanwa katika kutoa maoni yao? kwa mfano tu, kwa nini kitabu cha "Why we will never win the war on Hiv" cha kina Duesberg kiko banned? Hawa wamiliki wa hiv wanaogopa nini kitawekwa wazi na hicho kitabu? Kama jamaa wanaongea upuuzi why not let the public be the judge of that?
narudia tena na pia napenda kurekebisha kitu:
immuno deficiency zipo ila incidence zake ni ndogo sana. kwa wastani ni watu wawili kwa kila watu 10000 wanazaliwa.
immuno deficiecy ni tofauti kabisa na acquired immuno deficiency syndromes. immuno deficiency inaweza kuwa unakosa kitu fulani kinachohitaji kwa mfumo mzima wa kinga. acquied immuno deficiency syndromes inakuwa inaelezea range ya syndromes ambazo zinakuja kutkana na kuwa low count ya cd4 na CD8.
hii ishu ya HIV - AIDS ni Pana sana. Ugumu mwingine ni juu ya lugha, kiswahili hakina misamiati sahihi na ya kutosha kuelezea yote yanayopasa kuelezewa kwa usahihi Bila mkanganyiko. (ref. Mkanganyiko wa ukimwi wa HIV na "ukimwi mwingine").
PROOF THAT HIV CAUSES AIDS
Mkuu hao Co-founders wa HIV ambao ni Robert Gallo na Luc Montagnier kuna vitu vikubwa wameshindwa kuvifanya ambavyo mmoja wa Denialist wa kwanza ku question hiyo Hypothesis ameweza kuvifanya katika ulimwengu wa sayansi.
Denialists huyu ni Peter Duesberg, Robert Gallo anamjua Peter Duesberg ni nani katika ulimwengu wa sayansi. Duesberg amedeal na retrovirus kwa miaka zaidi ya 30. Ni mtu wa kwanza ku map genetic structure ya retroviruses, so ni mtu ambaye anafahamu strong and weakness ya retrovirus, pia ni yeye ndiye aliyegundua genes (ONCOGENES) ambazo zinasababisha kansa .
Na ndiyo maana aliposikia Gallo aki claim kwamba virusi aina ya retroviruses kuwa wanasababisha kushuka kwa kinga ya mwili akushangaa sana kwasababu sio mara ya kwanza Gallo kuclaim kitu kama hicho. Aliwahi kuja na kitu kama hicho miaka ya 70. Ali claim kwamba virusi hao hao aina ya retroviruses wanasababisha kansa kwa binadamu lakini baada ya scientist kuja na critics alishindwa kuprove madai yake scientifically. Na ndiyo ikaja kuwa proved kwamba kansa si ugonjwa wa kuambukizwa, na hii case ya UKIMWI inafanana kabisa na hii case ya kansa.
Ni vigumu kuamini kwamba HIV is not the cause of AIDS mpaka uichimbe historia ya UKIMWI duniani na siyo tanzania, ndiyo utaujua ukweli. Since day 1, ukweli kuhusu UKIMWI ndipo ulipopotoshwa.
Kitu ambacho unapaswa kufahamu ni kwamba HIV/AIDS defendants kamwe hawawezi kukubali kuwa HIV is not the cause of AIDS ingawa wanaujua ukweli, na hii si kwa bahati mbaya, wanaogopa kuwa responsible juu mamilioni ya watu waliopoteza maisha kwa wrong treaments inayoambatana na UKIMWI na pia knowledge yao ya sayansi kuonekana uselesss kwenye hii dunia.
Kitu cha pili, kamwe HIV/AIDS defendants hawawezi kushiriki scientifically debate na deanilists, kwasababu wanaujua ukweli uliopo nyuma ya pazia.
Mwisho HIV/AIDS defendants hawajashindwa kupata chanjo au dawa ya UKimwi bali wameshindwa kujua nini chanzo cha ukimwi na hapa ndiyo turning point ya kukosa vaccine au antibiotic ya huu ugonjwa kwa miongo 3 (Miaka 31) sasa. Wameishia kubuy time tu na kutengeneza pesa tu. Wameshindwa kukiri kwamba wameshindwa, wanaona aibu sasa, wanaishia kukipa HIV magical power tu. Mara kinajificha, mara kinapumbaa.
Wewe si medical expert nenda ka trace history of medicine katika ulimwengu wa sayansi kwa magonjwa ambayo yalikuwa yakisababishwa na virus na ambayo yalikuwa yakuambukizwa yamekuwa controlled vipi. Yote yamekuwa controlled na vaccine na antibiotic, hiyo ni success history katika ulimwengu wa medicine. Na ugonjwa wa mwisho ulikuwa ni Polio miaka ya 50 huko.
Magonjwa ambayo yameshindwa kupata chanjo au antibiotic ni magonjwa ambayo si ya kuambukizwa na ambayo hayasababishwi na virusi mfano kansa.
Msikilize Dr. Peter Duesberg anachokizungumza hapa;
https://www.youtube.com/watch?v=JTxvmKHYajQ
Ushauri kwa madokta na mnafuatilia huu uzi .......nilichogundua huyu mleta na Deception . Either ni watu wawili wanaojuana . Au ni mtu mmoja anayetumia I'd mbili kutaka kutengeneza jina kuhadaa watu walio desperate yaani wagonjwa au wenye relatives waathirika ili wapige hela . Huu sio uzi wa kwanza kuanzishwa na deception na akawa msemaji mkuu abt yeye kutibu ukimwi . Akaona kama haitoshi now kaja na jipya kwamba ana mwaka mmoja tokea ajidunge damu ya mtu mwenye ukimwi na hajapata ukimwi . Mwenye kuelewa na aelewa . Na ndio maana lengo lake kubwa kuwadharau madokta ili kuwahamisha wagonjwa kutoka mahospitalini na kutafuta yeye tenda ya kuwatibu . Ingawa anasema eti atawatibu bure .......eti yuko tayari kushtakiwa . Ndio maana Mimi nimemshauri afungue clinic yake aitangaze atapata msaada hadi kutoka serikalini sijui anaogopa nini .
Bro, najua wewe ni mwelewa na unapenda kujifunza zaidi. Njia sahihi ya kujibu hoja ni kutoa hoja ila kama nilivyosema mwanzo hii ishu ya HIV - AIDS ni Pana sana. Ugumu mwingine ni juu ya lugha, kiswahili hakina misamiati sahihi na ya kutosha kuelezea yote yanayopasa kuelezewa kwa usahihi Bila mkanganyiko. (ref. Mkanganyiko wa ukimwi wa HIV na "ukimwi mwingine"). kwa kubeza," understandably", umeita watu humu "learned brothers" sio kama complement kwao, Bali kama njia ya kuonyesha dharau.
Sasa, hoja hujibiwa kwa hoja. Conspirators humu wameibua hoja zao kwa kujifunza kupitia uelewa wao wenyewe,, Lakini pia kwa kutumia sources za mtandaoni.
Sasa basi, kwako wewe na wale wote ambao understandably wana doubt kwamba HIV haisababishi AIDS, naweka proof beyond reasonable doubt kwamba HIV husababisha AIDS.
FUATILIA HII LINK HAPA CHINI, KAMA UMEKUJA THIS FAR NAAMINI WEWE SIO MVIVU WA KUSOMA, MAANA WEWE NI LEARNED BROTHER, PA KINGEREZA KILICHOTUMIKA NI RAHISI KWA YEYOTE KUELEWA HIZI SCIENTIFIC FACTS AND REASONS
NB: pamoja na kueleza kwanini HIV inasababisha AIDS, pia article hii inajibu maswali yote juu ya conspiracy za ukimwi. Maswali na hoja zote zilizo humu jamvini majibu yake ni ndani ya article hii, kila swali lililoulizwa humu kama lilivyo na jibu lake papo hapo
PROOF THAT HIV CAUSES AIDS
Wakuu pakamwam , mkuyati og ,
Ahsanteni sana kwa maelezo yenu ya kitaalaamu, hakika sasa naanza kuwaelewa, na nimejifunza kitu.
Hapo juu (kwenye RED), naona kama ni hoja ya maana, baada ya kuitafakari deeply mara mbili mbili. Kweli kabisa kuna kitu cha kuwekana sawa katika hili, yawezekana kumbe tunachanganya hii terminology ''UKIWMI''.
Kwa mimi nilivyowaelewa sasa, kuna AINA mbili za Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI), pia kuna AIDS ambayo ndo magonjwa yenyewe mtu anaanza kuugua. Kwamba:
(a) Kuna UKIMWI unaosababishwa na mwili kukosa vitu/kitu fulani kwenye mfumo mzima wa kinga. Upungufu huu wa Kinga ndo kitaalaamu unaitwa ''Immuno Defficiency''.
(b) Kuna UKIMWI unaosababishwa na Kirusi ambae anaitwa 'HIV'. Upungufu huu wa Kinga naona kitaalaamu hauna jina !
(c) Halafu kuna AIDS, haya ndo yale magonjwa yenyewe sasa mtuu anaanza kuonesha dalili ama kuugua kabsa.
Hivyo basi, UKIMWI na AIDS kumbe ni vitu viwili tofauti:
UKIMWI kirefu chake ni Upungufu wa Kinga Mwilini, yaani kinga za mwili zimeshuka/zimepungua.
AIDS kirefu chake ni Acquired Immuno Defficiency Syndrome, hii ni magonjwa/ugonjwa spesific mtu anaanza kuugua. WIKIPEDIA: ''A syndrome is a set of medical signs and symptoms that are correlated with each other and, often, with a specific disease.''
So ukiwa na UKIMWI, then ndo AIDS inaibuka. Yaani kwamba Kinga zako zikipungua (UKIMWI), then ndo unaanza kuonesha dalili za kuugua/ugonjwa (AIDS). Therefore kwa tafsiri yangu mimi binafsi, AIDS kwa kiswahili ni 'magonjwa yanayopatikana/yanayoibuka baada ya Upungufu wa Kinga Mwilini'. I sincerely stand to be corrected!
Sasa basi, kwa nia njema kabisa ya kujifunza, naombeni wakuu mnieleweshe zaidi kwenye hoja zifuatazo:
1. Upungufu wa Kinga (ukimwi) unaosababishwa na ukosefu wa kitu fulani kwenye immune system, kitaalaamu unaitwa ''Immuno Defficiency''. JE, upungufu wa kinga (ukimwi) unaosababishwa na kirusi HIV, kitaalaamu unaitwaje??
2. JE, AIDS (ambayo ndo magonjwa yenyewe) yanapatikana/yanaibuka kwenye Ukimwi (a) au Ukimwi (b) ??
3. Pia hebu naombeni sana muichambue hii terminology ya 'AIDS'. Tuangalie the real meaning ya neno 'AIDS', please msibeze hii hoja maana mimi nahisi kabsa ni kama kuna logic fulani ivi ambayo either namiss kuielewa ipasavyo, or inanimisslead. NOTE: ''Immuno Deficiency'' ipo ndani ya neno ''AIDS'', na pia kumbuka kuwa ''Immuno Deficiency'' ndo UKIMWI (a) hapo juu.
AIDS = Acquired Immuno Deficiency Syndrome.
Je, neno ''aqcuired'' linarefer kwenye Immuno Deficiency? ama linarefer kwenye Syndrome? Kwamba, ni Acquired Immuno Deficiency which then causes Syndrome? ama ni Acquired Syndrome caused by Immuno Deficiency?
Je, kwa medical context, neno 'acquired' linamaanisha nini hapo?
Wakuu mnisamehe sana kama naonekana kuwachosha, ila lengo langu ni kujifunza masuala haya kutoka kwenu mliosomea taaluma hii. Tuweke biasness pembeni na tuelimishane hizi issues za HIV/AIDS. Dhumuni kuu ni wasomaji wajifunze kwa manufaa yao wenyewe, coz kumekuwa na controversies ambazo kwakweli ni za wazi wazi kabisa kumfikirisha mtu yeyote mwenye common sense.
CC: multikasuku , Eiyer , Deception , H1N1 , everlenk , mzee wa kigonzile Econometrician
jamani nimeweka link inayoprove
hiv husababisha aids na mambo mengine mengi. nasubiri kujua wangapi watasoma na kutoa maoni. ukimya huu unanifanya niamini kwamba sisi ni kizazi kolichozoea kutafuniwa (spoon feeding). nimesema kabisa kwamba hoja zote zilozotolewa humu ziko ndani ya hilo bandiko, kama zilivyo, pamoja na majibu yake kisayansi na ki statistic na epidemiologically. tukubaliane, hapa tunaongea kuhusu scientific proof, na sayansi hujibiwa kwa sayansi na si kwa siasa kama wengi wenu mnavyotaka.
nawawekea tena hii link
PROOF THAT HIV CAUSES AIDS
Facts for HIV;
A very clever virus which has managed to manipulate its existence by binding into the host DNA machinery to the extent that it is difficult to eliminate it/fight it unless you sacrifice your own cells.
...sijui nianzie wapi!!
ARVs hazina madhara kabisa katika hizo seli. Ila ikumbukwe kitu chochote kinaweza kuleta madhara mwilini. ARVs kama dawa zingine pia zina madhara hasi kama zilivyo dawa nyingine.
Ukipunguza kiwango cha virusi mwilini (kwa kuzuia kuzaliana kwao) ambao wanaweza kushambulia seli nyingine ambazo hazijawa compromised, maana yake ni kuwa seli ambazo hazijashambuliwa zinabaki katika ubora wake na kufanya kazi kama jembe le.. na kufanya kinga kuwa imara.
Salaam mkuu multikasuku,
Hapo kwenye RED: Mwanzo unasema kwamba it is difficult to eliminate/fight HIV (a very clever virus) unless you sucrifice your own Cells. Ghafla tena unasema kwamba ARVs hazina madhara kabisa kwenye hizo cell. Mara tena unasema kwamba ARVs zina madhara hasi kama dawa zingine. Ama hizo ARVs hazi-fight huyo HIV??
Mkuu, kama wewe mwenyewe hujuwi unachokiongea ama unajikanganya kiasi hicho, mimi nishike kipi hapo??? Simaanishi kukutusi, bali sikuelewi mkuu, na mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukuelewa hayo maelezo yako!
Hapo kwenye BLUE: Awali ulieleza kwamba ARVs zinazuia Virusi kuzaliana (to stop replication). Sasa hivi tena unasema kwamba kazi ya ARVs ni kupunguza kiwango cha Virusi. Sasa mkuu nishike lipi hapo???
Kwa uelewa wangu:
KUPUNGUZA VIRUSI inamaanisha ni kuangamiza idadi fulani ya virusi na kuviondoa!
KUZUIA KUZALIANA inamaanisha ni kuzuia kuongezeka kwa Virusi ila idadi iliyopo inaendelea kuwepo kama ilivyo.
Sasa mkuu tuweke sawa, ARVs zinafunction ipi kati ya hizo mbili?
If ARVs zinapunguza kiwango cha Virusi, inamaana kwamba ARVs zina uwezo wa kuua/kuangamiza na kuondoa Virusi mwilini. BUT WHY ziishie kwenye kuwapunguza tu na sio kuwamaliza kabsa?
Please mkuu, tulia usijikanganye tena. Haya ni mambo ya msingi sana watu kuelewa. I sincerely like your passion of sharing this knowledge. Maintain the spirit mkuu!
CC: pakamwam, Eiyer , Deception , H1N1 , everlenk , mzee wa kigonzile
Mkuu hujanitag ila naomba nijibu. Principles ya dawa nyingi(sio tu ARV) ni kuzuia wadudu kuzaliana kwa njia tofauti tofauti. Hapa siongelei dawa ambazo huua wadudu moja kwa moja, maana tatizo kubwa la mdudu HIV ni kwamba a functioning and effective HIV virus anakaa ndani ya celli zenye CD4 positive receptor, maana hizo ndio celli zinazopokea mdudu huyu. Hivyo basi, huwezi kuua mdudu ambaye yuko ndani ya celli Bila kuua celli yenyewe. Sijui unapata maana hapo? Lakini pia, kila seli ina uwezo wa kuishi kwa muda fulani tu specific, halafu inakufa. That applies to all cells you know, pamoja na zile zinazojenga mwili wako. Hivyo basi, ARV zinapunguza na uwezo wa kirusi ku-infect new uninfected cells, ama zile infected cells kutoa virusi zaidi wenye uwezo wa ku-infect new uninfected cells. Kumbuka, kila cell ina muda fulani wa kuishi ambapo ukipita muda huo celli hufa. Kwa maana hiyo basi, kama kirusi kitashindwa kuzaliana kwa spidi inayotakiwa ili concentration yake ipande kwenye damu, basi itafika wakati kitakufa (natural death, pamoja na death due to immune mechanism of the body) chukua mfano :mmezaliwa sita (6) ktk familia, wanne mkapata matatizo ya ugumba hivyo mkashindwa kuzaa, wawili tu ndio wakazaa watoto. Mtoto mmoja akawa tasa, mwingine mzima. Itafika wakati mkazeeka na kufa, ama mkafa kwa sababu mbalimbali ikiwepo ugumu wa maisha je, familia yenu itabaki na watu wangapi baada ya miaka say 40 or 50? Concept hii inajaribu kueleza virusi vinapungua vipi mwilini, kama hujaelewa feel free to ask.
DoIla fahamu kwamba dawa hizi haziko 100% effective, some viruses will always survive and infect new cells,, ila namba ni ndogo ndogo ndogo saana. That's why watu wanaotumia dawa sahihi vizuri, kuna kipindi ukipima HIV viral load utakuta it's almost undetectable. Hii haimaanishi kwamba virusi hakuna, ila vinakuwa kidogo sana kwenye damu, ila vingi vimebaki kwenye reservoirs (very inactive infected cells, with long half life) kwenye bone marrow na lymph nodes.
scientists wanahangaika kutafuta dawa ambayo itazuia kabisa virusi hivi kuweza ku-infect new cells, ama kuua infected cells kabla hazijatoa new infective HIV viral "cells", Bila kuua seli zingine ambazo hazina virusi (cells of the same type, eg. Cells carrying CD4 Receptor) maana ukiua hizi selli zote, utapata severe immunosuppression ambayo hata ukipata mafua tu yatakuwa so severe in way that yanaweza kukuua.
Kuelewa zaidi kwa lugha rahisi, click link hapo chini
HOW ARVs WORK
Tujadili kwa makini sana alichokisema mdau hapo juu kwenye nyekundu,halafu tupime wapi kuna ukweli;
1.kwa bahati nzuri inatokea kwa wagonjwa wachache (hasa pale wanapoanza kutumia dawa...
Suala hili huwa nalisema mara nyingi sana,watu wanaounga mkono HIV/AIDS hypothesis hupenda sana kusema maneno haya,'eti' madhara haya huwatokea watu wachache.Halafu pia mimi sikuzungumzia madhara ya muda mfupi,naomba watu wawe na kumbukumbu kwenye hili jambo,mimi nazungumzia madhara ya muda mrefu(long term side effects),yaani madhara yanayomtokea mtumiaji baada ya kuzitumia ARVs kwa muda mrefu.Madhara yanayoua ni yale yaliyojijenga baada ya matumizi ya muda mrefu ya ARVs,na ndio nguvu yangu ya majadiliano nimeiweka hapa.Sijawahi kuona au kusikia madhara ya muda mfupi ya matumizi ya ARVs kwamba yameua mtu,bali madhara ya muda mrefu ndio huua watumiaji wa ARVs.Hivyo naomba tu focus hoja zetu kwenye mahara ya muda mrefu.
Angalizo:
Madhara haya ya muda mrefu anayapata KILA mtumiaji wa ARVs,si watu WACHACHE,la hasha,bali watumiaji WOTE wa ARVs hupata madhara haya ila muda unatofautiana kutegemea na lifestyle zao.Wengine (kwa mfano) baada ya miaka 2,wengine 3,4....10 nk,kwa vyovyote vile mwisho wa siku lazima apate madhara,ARVs HAZIBAHATISHI katika kusababisha madhara.
2....Hivyo si sahihi na ni UONGO ambao inabidi tuukemee kuwa ARVs ni fatal zinaua kinga na kusababisha UKIMWI....
Sasa naomba mwenye akili na azitumie hapa:
KUMBUKENI HAYA MANENO:
Kinga ya mwili hukinga mwili dhidi ya magonjwa ya kuambukizwa na yasiyoambukizwa.Magonjwa ya kuambukizwa ni kama vile malaria,TB nk,na magonjwa yasiyoambukizwa ni kama vile cancer,vitiligo nk.Kinga ya mwili sio CD4 peke yake,kuna mambo mengi sana.CD4 zinahusishwa zaidi na kukinga pathogens/vijidudu,lakini matatizo mengi yanayowakumba wale wanaotumia ARVs kwa muda mrefu HAYAHUSIANI na vijidudu,kumbukeni na fuatilieni hilo,usiridhike na anachosema mtu mwingine,fuatilieni wenyewe,kila mtu atasema anachoamini,sasa ili kujiridhisha fuatilieni ninyi wenyewe mahospitalini na mitaani.
Sasa twende kwenye mada:
Mimi nasema na nilishasema mara nyingi kwamba ARVs husababisha UKIMWI baada ya kuzitumia kwa muda mrefu.Naomba msome post yangu ya muda mrefu hapo chini kwa umakini mkubwa.
Kinga kupungua si lazima seli za kinga zife,hata uwezo wake wa kufanya kazi ukipungua maana yake kinga imeshuka pia,hii ni kimantiki zaidi ya kidarasani.
Nitatoa mfano mmoja kuhusu cancer:
Kitaalam,kila siku kila mtu mwili wake hupata seli za cancer lakini hatuugui cancer kwa sababu kinga ya mwili huziua seli za cancer.Kuna aina tofauti za kinga za cancer,unaweza kuzigawanya katika makundi mawili ambayo ni First line defense na second line defense,nadhani haya ni maneno rahisi watu kuyaelewa.Sasa twende ndani zaidi....
First line defense inahusisha kimengenyo kiitwacho TRYPSIN kitolewacho na kongosho/pancreas.Trypsin kazi yake ni kumengenya PROTINI,seli za cancer zimezungukwa na ukuta wa protini ambao una charge -ve.Sasa seli nyeupe za za damu nazo zina charge -ve,sasa seli nyeupe haziwezi kuvamia na kuua seli za cancer kwa kuwa(as a matter of principle) charge zinazofanana hukwepana,hii karibu kila mtu analijua.
Sasa basi,kimeng'enyo cha trypsin kazi yake ni kumengenya ukuta wa protini wa seli za cancer na kuziweka uchi zishambuliwe na seli nyeupe za damu.Sasa ili process hii ikamilike lazima seli nyeupe ziwe vital,yaani ziwe na afya na pia kongosho iwe na afya njema.Sasa kama damu ina acid nyingi hili haliwezi kufanikiwa kirahisi,process nzima itashindwa kutokea,na hatimaye mtu hupata cancer,very very simple.Hivyo ukiona mtu kapata cancer ujue moja ya mambo makubwa yaliyomtokea ni hili.
Sasa nimetoa link ya youtube ili watu wajionee side effect za ARVs.Lakini pia nimetoa link nyingine ambayo hutumiwa na serikali ya Marekani('wale wanaomiliki HIV') ili watu wasinishambulie kwa kuniambia kwamba nimetoa ma link ya uongo ya youtube.
Link hiyo ya pili niliyotoa ni ya haohao wanaunga mkono HIV/AIDS,si link ya HIV/AIDS dissidents,nadhani tumeelewana hapo,hata ukilinganisha link niliyotoa na ile aliyotoa mkuyati og utaona zinaendana.Angalia hapa chini;
mkuyti og ametoa link hii:
http://www.niaid.nih.gov/topics/hivaids/understanding/howhivcausesaids/pages/hivcausesaids.aspx
Mimi nimetoa link hii:
https://aidsinfo.nih.gov/drugs/290/tenofovir-disoproxil-fumarate//patient
https://aidsinfo.nih.gov/drugs/290/tenofovir-disoproxil-fumarate/0/patient
NIH(National Institute of Healthy) ni taasisi ya afya ya Marekani inayofanya kazi bega kwa bega na CDC,AMA na WHO.
Ukiangalia kwenye link niliyotoa chini kabisa utaona chapa ya mwewe,hii ni ishara kwamba link hii ni ya wamiliki wa HIV/AIDS hypothesis.Mkuze huyo mwewe na usome kilichoandikwa juu yake.Skulazimika kusema yote haya,lakini nasema hivi ili kuondoa lawama.
Pia TDF ni mfano tu,lakini wewe ingiza jina la dawa YOYOTE ile ya ARVs kwenye link hiyo utaona kwamba SIDE EFFECTS zote ni zilezile,sasa kama una ubongo jiulize kwa nini.
Pia kama mtu haamini hiyo link,basi atafute kikopo chochote cha dawa za ARVs ndani yake kuna karatasi pana sana ukiikunjua imeeleza vilevile kama kwenye link hii.Ila uzuri wa karatasi hizi za kwenye vikopo ni kwamba zimeingia ndani zaidi kiasi kwamba ukizisoma vizuri utaona matatizo yote yanayowatokea wale waliolazwa mahospitalini wanaotumia ARVs yameandikwa kwenye hizo karatasi.