Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,956
- 134,036
Wadau kuna upotoshaji uliletwa na wana CCM tawi la ACT kwamba Mwl.Kashindye aliyekuwa mgombea Chadema Igunga amejiweka pembeni na Chadema.Habari hizi sio za kweli na hata uzushi haufahamiki kabisa Igunga.Kudhihirisha hilo Kashindye yupo na gari ndogo plale no.T445 ALT,akitangaza ratiba ya uchaguzi wa Chama hicho.Gari hilo limepambwa na bendera za Chadema lipo maeneo ya Sayari karibu na parking ya Mohamed Trans.Ninazo taarifa za Dr.Kafumu kumrubuni Kashindye ajitoe CHADEMA kwa ahadi ya kumpatia ajira mgodini.Namshauri Dr.Kafumu badala ya ku-deal na Kashindye,angepigania pesa za fidia ya Tanesco iliyoliwa na DC Elibariki Kingu