ujue asilimia kubwa ya wabonge kitu tusipokifaham vyema huwa tunakimbilia kwa suluhisho kuwa ni kibovu au hakifai au hakitengenezeki. Ni kweli kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake ila kwa kweli kwa madereva wa sasa wengi wao ni madereva wa magari ya automatic na kama utawapa manual basi ujue watashindwa kuendeshga au kuua gear box kabisaa na wengi wao wangepata sana ajari na kusababisha ajali. Ili kwa mim naona gari ya manual ni nzuri kawa sababau na vigezo vifuatavyo ............................................................ Nitarudi baadae kidogo ngoja nikaswali kwanza
well manual cars seem to have issue when driving upside on slopy area you have to accelarate too much to go further,while in manual you can easily go anywhere, manual cars make driver to be very busy during driving, automatic cars are for lazy people and girls.
Inategemea unaongelea uzuri gani. kama ni urahisi wa kuendesha sawa ni automatic. kama ni ubora automatic hamna kitu ndugu. Wamezitengeneza kibiashara tu. Ndio mana nchi zilizoendelea hawatengenezi wala hawanunui.
Habari wana JF??
Sie wengine magari ya manual tulijifunzia tu lakini tumekuwa tukitumia automatic kwa muda mwingi sana.
Ok, issue iko hivi...nimekuwa nikitumia gari yenye automatic transmission, sasa kuna jamaa yangu yupo Ulaya nikaomba aniangalizie gari ingine kutoka huko na kanitafutia gari nzuri sana ya 2008 ila ni manual. Kiukweli nimeipenda ila nilihofu kuhusu hiyo transmission yake na kila ninayemgusia ananiambia gari za manual si nzuri ukilinganisha na automatic. Swali ni je kwa nini bado zinatoka na Ulaya wanapenda manual zaidi kuliko Africa na Asia???
Tatizo ni kwamba sijapata mtaalam wa kunifafanulia hasa uzuri na ubaya wa gari za manual kushinda automatic.
Wataalam tumwagieni maujuzi kuhusu hii kitu ili niondoe hii conflict niweze kuchukua kitu nikiwa na raha kumoyo!!!!
Nawasilisha
ujue asilimia kubwa ya wabonge kitu tusipokifaham vyema huwa tunakimbilia kwa suluhisho kuwa ni kibovu au hakifai au hakitengenezeki. Ni kweli kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake ila kwa kweli kwa madereva wa sasa wengi wao ni madereva wa magari ya automatic na kama utawapa manual basi ujue watashindwa kuendeshga au kuua gear box kabisaa na wengi wao wangepata sana ajari na kusababisha ajali. Ili kwa mim naona gari ya manual ni nzuri kawa sababau na vigezo vifuatavyo ............................................................ Nitarudi baadae kidogo ngoja nikaswali kwanza
Yaaaaaaaaaaaaap. Gari ni manual mkuu asikudanganye mtu. Manual ni imara na hautakuwa na urafiki wa karibu sana na gereji kama automatic. Ila inahitaji muda kulizoea kuliendesha na pia linahitaji stamina maana ukiwa kwenye foleni na uko kwenye mwinuko kama hujuwi ku-balance clutch na accelerator litakuwa linarudi nyuma kila utakapo kuondoka na waweza kumgonga aliye nyuma yako kama kakaa karibu sana na wewe. Pia mwanzoni litakusumbua kwa kuzimikazimika hasa kwenye mataa na kwenye foleni ila ukijazoea ukamudu hayo wewe ni derava hasa na utalifurahia gari lako.
Nimejiuliza sana hilo swali coz nchi zilizoendelea kuna gari manual ya mwaka 2012 sisi huku tunaona kama ni old fashion, naona umezidi kunifunua ufahamu wangu bro, thanx sana!!