Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760

Attachments

  • CCM4.jpg
    57.9 KB · Views: 4,020
  • CCM5.jpg
    52.2 KB · Views: 3,682
  • GARI.jpg
    45.9 KB · Views: 3,626
  • GARI1.jpg
    32 KB · Views: 2,726
  • CCM1.jpg
    52.7 KB · Views: 3,633
  • 2012-03-12-072[1].jpg
    7.1 KB · Views: 319
Mkuu tunakutegemea kwa update, nipo hapa corner nirobi nimekutana na lori na cruisers zikitokea Monduli kuelekea Arumeru. Watu waliobebwa kwenye Lori wanaonekana wamechoka sana.
Watakuwa wameambiwa kuwa "Chakula mtapewa hukohuko"
 
Nasikia wanasombwa na malori tangu jana hadi leo.Wapo waliotoka Monduli,Loliondo mpaka wapare wapo.
 
Nasikia wanasombwa na malori tangu jana hadi leo.Wapo waliotoka Monduli,Loliondo mpaka wapare wapo.

Viherere hawakosagi..hata hapa Bukoba waliondoka juzi kuja huko........eti ni wajumbe......mjue hao wanakuja kupewa shahada zilizonunuliwa kuwapigia kura Magamba.
 
utakuwa umeshapewa commission na Mwigulu. Tahadhara ya kutosha kwa mkeo crash

Acha uchuro wewe lazima ujue formation za mpinzani wako ili ubadili strategy...za mashambulizi.........sasa wewe unataka tukariri tulichokiona kwetu CDM kisha tusiangalie the other side kuna nini? Wewe yawezekana ndo umekula cha Mwigulu ili utu demoralize. Muone kwanza Ntamaholo wewe..........okotolwa........nyanebe
 
naona umeona uwahi kuanzisha thred ili uwe wa kwanza.
 
watu ni wengi kweli kweli,wabunge mbali mbali wa ccm wamesambaa jimbo zima kata zote
 
Mkuu tunakutegemea kwa update, nipo hapa corner nirobi nimekutana na lori na cruisers zikitokea Monduli kuelekea Arumeru. Watu waliobebwa kwenye Lori wanaonekana wamechoka sana.
Mimi niko hapa maeneo ya mianzini imepita kenta wamejazwa wamama walovaa nguo za kijani na njano nao wanapelekwa kuzindua Arumeru...


hawa nasikia wamezolewa maeneo ya ungaltd.
 
nakwambia ni kijani kila mahali,kuanzia kikatiti hadi sanawari na philips
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…