Uzi wa NBA, msimu huu tunamake vipi pesa

Uzi wa NBA, msimu huu tunamake vipi pesa

Magic vs bull

Possibility

Each team to score over 106 UNAWEZA jaribu 110 naishia 106

Total quarter ya kwanza juu ya 56

Total First half juu ya 113

Each team to score quarter over 26 ngumu kumeza

Unaionaje ipi Bora

Tumia kampuni AMBAYO utapata option hizo
 
IMG_8029.jpeg


Usishangae dogo kuwa MVP wa kwanza mwenye umri mdogo kama sio msimu huu, lakini inakuja.
 
View attachment 3494352

Usishangae dogo kuwa MVP wa kwanza mwenye umri mdogo kama sio msimu huu, lakini inakuja.
Msimu huu asubiri kidogo. Wemb anacheza kama vile hana njaa. Hilo ndio linalonichukiza. Yeye na Antony Edwards wapo vizuri lakini hawachezi kwa njaa

Namkubali SGA huwa hana utani, msimu huu aliyenisurprise ni Tyrese Maxey. Aliyenidisapppoint ni Donavan Mitchell

Bado SGA atakua mvp msimu huu pia

RRONDO karata yako inaenda kwa nani au bado mapema?
 
Msimu huu asubiri kidogo. Wemb anacheza kama vile hana njaa. Hilo ndio linalonichukiza. Yeye na Antony Edwards wapo vizuri lakini hawachezi kwa njaa

Namkubali SGA huwa hana utani, msimu huu aliyenisurprise ni Tyrese Maxey. Aliyenidisapppoint ni Donavan Mitchell

Bado SGA atakua mvp msimu huu pia

RRONDO karata yako inaenda kwa nani au bado mapema?
Yap Maxey is establishing himself as a superstar this season.

Kuna watu wengi wapo vizuri msimu huu tatizo ni supporting cast in their teams. Mfano James Harden is putting good numbers.

If you ask me who is the leading contender for MVP this early in the season. In my opinion, the answer is Luca Doncic dude is just ridiculous.
 
Yap Maxey is establishing himself as a superstar this season.

Kuna watu wengi wapo vizuri msimu huu tatizo ni supporting cast in their teams. Mfano James Harden is putting good numbers.

If you ask me who is the leading contender for MVP this early in the season. In my opinion, the answer is Luca Doncic dude is just ridiculous.
Maxey akiendeleza huu moto atamchallenge SGA,
James Harden hana consistency, huwa yupo kama Jayson Tatum. Mpaka siku awe na mood ndio anakua na game nzuri

Luca Doncic yupo vizuri tatizo Lakers wachovu hivyo hatatoboa.
 
Maxey akiendeleza huu moto atamchallenge SGA,
James Harden hana consistency, huwa yupo kama Jayson Tatum. Mpaka siku awe na mood ndio anakua na game nzuri

Luca Doncic yupo vizuri tatizo Lakers wachovu hivyo hatatoboa.
Harden is not going to be MVP nime mention jina lake kwa sababu msimu huu since leaving Houston has become offence minded again.

Harden akutaka kuwa the main man ndio sababu ya kuondoka Houston, he just wanted to facilitate offence. This is the first time in a while he committed to being the main guy again.

Maxey is a very good player but he ain’t Luca Doncic, just yesterday Luca had 24 points in the first quarter alone against Clippers and at half time he had 32 points.

Watched that game yesterday the lead changed several times until the end of third and start of 4 quarter. When m Harden was rested, Clippers offence collapsed giving lakers a sizeable lead.

Lakers are good, Lebron is playing only his third game of the season; whilst Luca and Reeves have been exceptional this season. Jana hawakuwa na Ayton; Luca, Reeves, Lebron and Ayton wakicheza pamoja lakers will be hard to beat. Kumbuka sasa hivi wana second spot in the west (so they are not a bad team at all).

Maxey is good but not on SGA level, his offence is very much influenced by James Harden during his tenure at Sixers. Kuna video nyingi sana zinazo compare Maxey shorts selection to Harden (in other words he is young Harden).

Well SGA is still SGA this season, truth haven’t watched their games this season (tonight watching them for the first time) but SGA personal stats and team stats are good (You can compare SGA to Luca, but Maxey is not at their level yet).
 
Back
Top Bottom