Uzi mpya wa Yanga kama Ulaya

Uzi mpya wa Yanga kama Ulaya

DAKA MTUMBA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,288
Reaction score
805
Nimeupenda sana,na sisi simba tuige ingawa na wao yanga wameiga kwa azam.

attachment.php
attachment.php

 

Attachments

  • yanga+maximo.jpg
    yanga+maximo.jpg
    78.7 KB · Views: 825
  • 1-1+(18).JPG
    1-1+(18).JPG
    77 KB · Views: 634
Sema u roho yako isinge lizika bila kuitaja Simba ha!ha! Mtani unamambo.
 
Yani msimu huu raha sana Nyumbani Yanga huku ugenini Chelsea presha msimu huu sina......
thika.jpg cc.jpg
 
kwani ligi kuu bongo imeanza?acha kiherehere

Nawasiwasi na Elimu yako na uelewa wako wa mambo vinginevyo inaonekana umekalili tu Ebu ludia kusoma taratibu kimiya kimiya inawezekana umesomwa nilichoandika.
 
Nawasiwasi na Elimu yako na uelewa wako wa mambo vinginevyo inaonekana umekalili tu Ebu ludia kusoma taratibu kimiya kimiya inawezekana umesomwa nilichoandika.

Mmmmh haya maandishi??? Yaelekea umesoma sana
 
Nawasiwasi na Elimu yako na uelewa wako wa mambo vinginevyo inaonekana umekalili tu Ebu ludia kusoma taratibu kimiya kimiya inawezekana umesomwa nilichoandika.

kweli unaponyoosha kidole kimoja kwa mwenzio vitatu vinakuangalia wewe!
 
Duuuh huyo G. santos mbona na wowowo kubwa kama la mama ubaya a.k.a madame??? au wanaundugu???
 
mkuu je wewe una elimu gani?

Nawasiwasi na Elimu yako na uelewa wako wa mambo vinginevyo inaonekana umekalili tu Ebu ludia kusoma taratibu kimiya kimiya inawezekana umesomwa nilichoandika.
nina wasiwasi
umekariri
embu
rudia
kimya kimya
umesoma
 
Back
Top Bottom