Uzi Maalumu wa Kuishauri Serikali Ili Kufikia Tanzania Ya Viwanda Na Maendeleo Kwa Ujumla

Itzmusacmb

JF-Expert Member
Jun 22, 2016
1,531
1,132
Toa Ushauri wa Kizalendo Hapa Dhidi ya Serikali Yako, Haijalishi Itikadi yako kichama, dini au Kabila
Karibuni
 
naomba viwanda vya kubet viongezwe maana vimefanya vizuri sana awamu hii!
nchi kama monaco,gilbrata spain ,jimbo la nevada kule us kamari ndio unaendesha uchumi wao
ila kuota ndoto za mchana ni kuwaza tz kuwa na viwanda vya magari,electronics etc....... hata ulaya industrial revolution ilianza miaka 200 Iliyopita,Tutafika ila sio leo wala kesho tuache kuwaamini wanasiasa
 
naomba viwanda vya kubet viongezwe maana vimefanya vizuri sana awamu hii!
nchi kama monaco,gilbrata spain ,jimbo la nevada kule us kamari ndio unaendesha uchumi wao
ila kuota ndoto za mchana ni kuwaza tz kuwa na viwanda vya magari,electronics etc....... hata ulaya industrial revolution ilianza miaka 200 Iliyopita,Tutafika ila sio leo wala kesho tuache kuwaamini wanasiasa

bonge la point mkuu
 
naomba viwanda vya kubet viongezwe maana vimefanya vizuri sana awamu hii!
nchi kama monaco,gilbrata spain ,jimbo la nevada kule us kamari ndio unaendesha uchumi wao
ila kuota ndoto za mchana ni kuwaza tz kuwa na viwanda vya magari,electronics etc....... hata ulaya industrial revolution ilianza miaka 200 Iliyopita,Tutafika ila sio leo wala kesho tuache kuwaamini wanasiasa
Sipingi hili wazo ni zuri na jema, lakini je muktadha wa utekelezaji wa shughuli za uchumi kwa njia hii katika mazingira ya nchi yetu utawasaidia watanzania walio wengi?
Sisi ni nchi inayoendelea ikiwa na uchumi mdogo kabisa.
Binafsi nina mawazo mawili
1. Lazima turudishe elimu inayomjenga mwanafunzi kujigemea, kama walivyopewa wazazi wetu. Itasaidia kuzalisha rasilimali yenye uwezo wa kufanya kazi za uzalishaji mali kwa ubunifu na kuendesha viwanja vidogo vidogo.
2. Tumebahatika kuwa na nchi yenye ardhi kubwa sana na yenye rutuba, hatuna budi kufanya shughuli za kilimo kwa njia za kisasa na kitaalamu ili kuzalisha malighafi kwaajili ya viwanda.

Mengine serikali inaendelea kujitahidi ikiwa ni pamoja na kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo pamoja na kuhakikisha nishati ya kutosha inapatikana
 
Back
Top Bottom