Clinton Manangwa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 214
- 219
Mimi ninaishi mkoani Geita na ninajishughulisha na uchimbaji wa madini ya dhahabu kalibuni ndani ya uzi huu kwaajili ya kufahamu usichokijua na mimi kufahamu nisicho kijua kuhusu uchimbaji wa dhahabu.