Uzi apesheli za Afghans

Uzi apesheli za Afghans

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,709
Reaction score
35,701
Hapa utakutana na vituko mbali mbali vya WaAfghanstan

Unaruhusiwa kuweka zako
FB_IMG_1629372376326.jpg
 
Hujaona vidoa zao kwe amusement park hapo pia wanapakaziwa wanaendesha vigari vya watoto?

hujawaona wanavyosimamia magari na kanzu na AK47?
Viongozi wengi nao walivaa kanzu....
Kucheza ni kujifariji.. it's a fun and pleasure kufurahi... just stressfree
 
Tunasubiri tuone ugunduzi na technologia itakayogunduliwa na watu hao kwa kutumia ilim iliyokatika kitabu hicho wanachosema kimekamilika na hawataruhusu shule za kawaida zaidi ya madrasa
Techno gani wewe.... WANAUME wamewatimua kwa silaha zao walizotechnofy wenyewe
Unadanganyika kea hi-tech !! Mammaee tibu hiyo CORONA kwanza!!!!!
 
Back
Top Bottom