haujaelewa nilichoandika,mimi naongelea mamlaka ya hali ya hewa.hadi wewe unaipondea tbc.
TBC ni Upuuzi tuishie hapo...Huu Upuuzi Wa TBC mamlaka husika zichukue na kutoa adhabu stahikiView attachment 967988
haujaelewa nilichoandika,mimi naongelea mamlaka ya hali ya hewa.
Kuhusu TBC wana mazuri yao na mabaya yao.
Mabaya lazima niwaponde tu, mazuri nasifia.
vipindi cha maliasili na utaliiWanamazuri gani?
Wengine sisi ni wakulima na wavuvi ramli za hali ya hewa zinatuhusu sanaUlifuata nn huko?
Huu Upuuzi Wa TBC mamlaka husika zichukue na kutoa adhabu stahikiView attachment 967988
Mida hii nilikuwa naisubiri zangu Morning Trumpet Azam Two, unapata saizi TBC km haikwepeki hivi . Local zote HakunaWatu mna moyo aisee.. Bado mnaangaliaga TBC?
😀😀😀😀😀😀
Director Kaamka asbuh
Kaangalia hewani, kaona Wingu kama lile LA tar 18 mwez wa 3
Kamwambia producer,
"Hebu Play Ile CD ya mwez wa 3 Tarehe 18.
Hali ya hewa ya leo ndio ile ile kabisa Nmeona kwa macho yangu"
ni jangaHii stesheni sijui kama ipo hata... sasa hapa ndio ya taifa kioo cha taifa, ingekuwa kwa wenzetu huyu mtu anaehusika na hii kazi hana tena hadi waziri/mkurugenzi pia ila kwa vile n kwetu hata kutuomba radhi hutasikia