Kuna kipndi cha nyuma nilisha wai kubeba mimba ikatoka na nilisafishwa baada ya miezi miwil kupita baad ya mimba ktoka pia nilikuwa nasumbuliwa na tumbo na mgongo nilipima utarsaund nikaambiwa nina uchafu kwenye kizazi ambapo ndo ilinibdi nisafishe pia nikaambiwa nin uvimbe maji kwenye yai langu la kushoto ambapo niliandikwa dawa nkatumia vzur toka hapo sikuwa kuumwa tena mgongo wala tumbo isipo kuwa nimekuwa na maumivu mkali sana wakat apo ingia priod ambapo haikuwa kawaida yangu na siku zenyewe sasa hazieleweki mzunguko wangu uwa ni wasiku 35 lakin sa hv nashangaa naenda mpk 44 na sijaona kitu na nisha jarbu sana ktafuta tena mtoto bado sijafanikiwa sa sijui tatizo nn.Umeambiwa tatizo ni Nini?
Kuna kipndi cha nyuma nilisha wai kubeba mimba ikatoka na nilisafishwa baada ya miezi miwil kupita baad ya mimba ktoka pia nilikuwa nasumbuliwa na tumbo na mgongo nilipima utarsaund nikaambiwa nina uchafu kwenye kizazi ambapo ndo ilinibdi nisafishe pia nikaambiwa nin uvimbe maji kwenye yai langu la kushoto ambapo niliandikwa dawa nkatumia vzur toka hapo sikuwa kuumwa tena mgongo wala tumbo isipo kuwa nimekuwa na maumivu mkali sana wakat apo ingia priod ambapo haikuwa kawaida yangu na siku zenyewe sasa hazieleweki mzunguko wangu uwa ni wasiku 35 lakin sa hv nashangaa naenda mpk 44 na sijaona kitu na nisha jarbu sana ktafuta tena mtoto bado sijafanikiwa sa sijui tatizo nn.
Kwa uelewa wangu mdogo clomid ni kwaajili ya kupevusha mayai. Madaktari watakuja kukusaidia. PoleKuna kipndi cha nyuma nilisha wai kubeba mimba ikatoka na nilisafishwa baada ya miezi miwil kupita baad ya mimba ktoka pia nilikuwa nasumbuliwa na tumbo na mgongo nilipima utarsaund nikaambiwa nina uchafu kwenye kizazi ambapo ndo ilinibdi nisafishe pia nikaambiwa nin uvimbe maji kwenye yai langu la kushoto ambapo niliandikwa dawa nkatumia vzur toka hapo sikuwa kuumwa tena mgongo wala tumbo isipo kuwa nimekuwa na maumivu mkali sana wakat apo ingia priod ambapo haikuwa kawaida yangu na siku zenyewe sasa hazieleweki mzunguko wangu uwa ni wasiku 35 lakin sa hv nashangaa naenda mpk 44 na sijaona kitu na nisha jarbu sana ktafuta tena mtoto bado sijafanikiwa sa sijui tatizo nn.
Njoo kwangu ,Mimi niki tembea Na wewe tu utapata mimba.



Ilikuwaje mimba itoke halafu hukusafishwa muda huo huo?Kuna kipndi cha nyuma nilisha wai kubeba mimba ikatoka na nilisafishwa baada ya miezi miwil kupita baad ya mimba ktoka pia nilikuwa nasumbuliwa na tumbo na mgongo nilipima utarsaund nikaambiwa nina uchafu kwenye kizazi ambapo ndo ilinibdi nisafishe pia nikaambiwa nin uvimbe maji kwenye yai langu la kushoto ambapo niliandikwa dawa nkatumia vzur toka hapo sikuwa kuumwa tena mgongo wala tumbo isipo kuwa nimekuwa na maumivu mkali sana wakat apo ingia priod ambapo haikuwa kawaida yangu na siku zenyewe sasa hazieleweki mzunguko wangu uwa ni wasiku 35 lakin sa hv nashangaa naenda mpk 44 na sijaona kitu na nisha jarbu sana ktafuta tena mtoto bado sijafanikiwa sa sijui tatizo nn.
Samahan ndg zangu nina shida naomba kusaidiwa mimi ni dada nina miaka 24 nimeolewa mwaka sasa sijashika mimba nimeamua kutumia dawa za clomid je kuna uwezekano zikanisaidia ili niokoe ndoa yangu.
Ilikuww siku ya ijumapili docter alikuwa mmoja na alikuwq na wagonjwa wengi hvo ikamfanya niapandishie bei alitaka 80 na ndo maan sikusafisha badala yake nikanunu dawa tu za kusafisha ambazo hazikunisaidia baada ya miez miwili nikaanza kusikia kiuno mgongo na mbavu pmoja na tumbo vinaumaIlikuwaje mimba itoke halafu hukusafishwa muda huo huo?