tongs
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 539
- 942
Mnyeti akisema aliwanunua madiwani, na bado atanunua wengine zaidi na ikibidi hata mbunge wao; tushangilie, tusiwe wapingaji kwa kila jambo. Tuwe wazalendo
Watanzania wote tuungane kumkemea Nasarry na Lema kupotosha umma kwamba walimrekodi disii akiwanunua madiwani. Tuungane na takukuru kukemea propaganda hizo chafu. Huo ndo uzalendo
Mapato ya nchi yamepanda, hamuoni tumenunua midege kibao kwa keshi? Mnahoji nini, mnarudisha nyuma juhudi za maendeleo ya viwanda. Huo sio uzalendo
Shirika la mwanga wakati wa mvua kero ya umeme inaanza usiku mzima, mchana kutwa. Treni za umeme zitakuja na pawa benki msihofu. Kuweni wazalendo
Tulijenga mabweni udsm kwa bil 10, mnapotosha takwimu za serikali kuwa ni bil 54. Kuweni wazalendo
Bashite anakagua miradi zenji, anafanya kazi za wizara ya mambo ya ndani, amekua zaidi ya arasii. Nasema piga kaazii, wewe ni mzalendo
Nchi hii ni tajiri sana, itabidi sisi ndo tuanze kuwapa misaada. Waandishi wa habari mnasema deni la taifa ni trillion 54. Wekeni uzalendo mbele, Tanzania kwanza
Magazeti mengine yanapotosha, wanaandika uchochezi. Jerry msigwa huwa anakose kidogo tu, hata tibisii waliteleza kidogo tuu. Kuweni wazalendoo.
Nchi hii iliibiwa sana, tumechezewa sana, tumekua shamba la bibi. Hao marais wastaafu muwache wapumzike, wamefanya kazi kubwa sana kwa hii nchi. Wazee wastaafu wanawashwawashwa. Tuweke maslahi ya taifa mbele
Maendeleo hayana chama, hao wapinzani wananiomba omba nafasi, kwenye serikali yangu wasahau, hao sio wazalendo
Watanzania wote tuungane kumkemea Nasarry na Lema kupotosha umma kwamba walimrekodi disii akiwanunua madiwani. Tuungane na takukuru kukemea propaganda hizo chafu. Huo ndo uzalendo
Mapato ya nchi yamepanda, hamuoni tumenunua midege kibao kwa keshi? Mnahoji nini, mnarudisha nyuma juhudi za maendeleo ya viwanda. Huo sio uzalendo
Shirika la mwanga wakati wa mvua kero ya umeme inaanza usiku mzima, mchana kutwa. Treni za umeme zitakuja na pawa benki msihofu. Kuweni wazalendo
Tulijenga mabweni udsm kwa bil 10, mnapotosha takwimu za serikali kuwa ni bil 54. Kuweni wazalendo
Bashite anakagua miradi zenji, anafanya kazi za wizara ya mambo ya ndani, amekua zaidi ya arasii. Nasema piga kaazii, wewe ni mzalendo
Nchi hii ni tajiri sana, itabidi sisi ndo tuanze kuwapa misaada. Waandishi wa habari mnasema deni la taifa ni trillion 54. Wekeni uzalendo mbele, Tanzania kwanza
Magazeti mengine yanapotosha, wanaandika uchochezi. Jerry msigwa huwa anakose kidogo tu, hata tibisii waliteleza kidogo tuu. Kuweni wazalendoo.
Nchi hii iliibiwa sana, tumechezewa sana, tumekua shamba la bibi. Hao marais wastaafu muwache wapumzike, wamefanya kazi kubwa sana kwa hii nchi. Wazee wastaafu wanawashwawashwa. Tuweke maslahi ya taifa mbele
Maendeleo hayana chama, hao wapinzani wananiomba omba nafasi, kwenye serikali yangu wasahau, hao sio wazalendo