ngosha2011
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 681
- 87
Nanunua simu kwa bei tajwa hapo juu, iwe smartphone ya android brand yoyote au nokia,kasi kwenye mambo ya internet bila kusahau WhatsApp,hata kama ni used lakini isiwe imechoka,zingatia kuwa bajeti yangu ni hiyo kejeri sipendi,
NAWASILISHA
NAWASILISHA