py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Pasi ya kumung'unya maneno Uyanga na Usimba unai-gharimu nchi yetu kwenye tasnia ya mpira.
Wapiga penati 3 wa timu ya IHEFU bila kupepesa macho wameonyesha unprofessional behaviour kwa aliye angalia mikwaju ya penalty ,wachezaji 3 waliokosa penalty kwa upande wa IHEFU wameonyesha kabisa wamefanya makusudi kukosa penalty
Walipiga penalty laini tena kwa kuonyesha kabisa ,pasi na shake Uyanga na Usimba ndio chanzo cha haya
Aliyeenda kupiga penalty ya mwisho ya ushindi kwa upande wa IHEFU kasikitisha Uyanga na Usimba kauonyesha pasi na shaka penalty ulojo anapiga ,penalty ile iliyowapa ushindi Yanga mpigaji anaonyesha kabisa ana mapenzi na yanga penati kama ya mtoto wa miaka 6 .
Tubadilikeni jamani tuwe professional zaidi tukiwa kazini
Wasalaam
Wapiga penati 3 wa timu ya IHEFU bila kupepesa macho wameonyesha unprofessional behaviour kwa aliye angalia mikwaju ya penalty ,wachezaji 3 waliokosa penalty kwa upande wa IHEFU wameonyesha kabisa wamefanya makusudi kukosa penalty
Walipiga penalty laini tena kwa kuonyesha kabisa ,pasi na shake Uyanga na Usimba ndio chanzo cha haya
Aliyeenda kupiga penalty ya mwisho ya ushindi kwa upande wa IHEFU kasikitisha Uyanga na Usimba kauonyesha pasi na shaka penalty ulojo anapiga ,penalty ile iliyowapa ushindi Yanga mpigaji anaonyesha kabisa ana mapenzi na yanga penati kama ya mtoto wa miaka 6 .
Tubadilikeni jamani tuwe professional zaidi tukiwa kazini
Wasalaam