Stress au matangazo ya biashara au vyote? Nadhani ni vyote! Kadiri wanavyofumuka wasichana wadogo kiumri, wenye maumbo na sura nzuri ndivyo biashara na stress zinavyoongezeka kwa hawa wakongwe!Wadada tokea wapigwe chini wamekuwa wakitumia nguvu kubwa kuprove wapo ok, View attachment 1110680
Hasaa uwoya ndio anataka watu waamini bado mbichi, baada ya kumpoteza ndiku, mara awee picha ya kigodoro mara hivi mara vile zote ni stress tu,
shamsa nae kapigwa chini tu mara apime HIV kwenye vyombo vya habari mara trip Dubai, mara aanike magazeti insta kumchoresha chidi yote hayo ya nini? Ni stress tu
Ezekiel nae toke apigwe chini na iyobo kazi kupiga picha na kijana mdogo kujionyesha yupo ok kumbe ni stress tu
Bibi yetu zari nae miaka 40 now na watoto watano juu lakini hakomi, tokea aachane na mond anateseka mara mapicha picha insta mara, kachukua kitoto huko kinaitwa king bae kina umri kana wa mwanae. ndio mpenzi wake mpya, lakini nyuma ya pazia zote ni stress tu
mkiachika achikeni kimya kimya
You are very correct! Umri ukienda wanaingiwa na kiwewe.Adui mkubwa wa mwanamke mpumbavu ambaye anaishi kwa kutegemea attention ni muda na umri kwenda......!
Wadada tokea wapigwe chini wamekuwa wakitumia nguvu kubwa kuprove wapo ok, View attachment 1110680
Hasaa uwoya ndio anataka watu waamini bado mbichi, baada ya kumpoteza ndiku, mara awee picha ya kigodoro mara hivi mara vile zote ni stress tu,
shamsa nae kapigwa chini tu mara apime HIV kwenye vyombo vya habari mara trip Dubai, mara aanike magazeti insta kumchoresha chidi yote hayo ya nini? Ni stress tu
Ezekiel nae toke apigwe chini na iyobo kazi kupiga picha na kijana mdogo kujionyesha yupo ok kumbe ni stress tu
Bibi yetu zari nae miaka 40 now na watoto watano juu lakini hakomi, tokea aachane na mond anateseka mara mapicha picha insta mara, kachukua kitoto huko kinaitwa king bae kina umri kana wa mwanae. ndio mpenzi wake mpya, lakini nyuma ya pazia zote ni stress tu
mkiachika achikeni kimya kimya
Wadada tokea wapigwe chini wamekuwa wakitumia nguvu kubwa kuprove wapo ok, View attachment 1110680
Hasaa uwoya ndio anataka watu waamini bado mbichi, baada ya kumpoteza ndiku, mara awee picha ya kigodoro mara hivi mara vile zote ni stress tu,
You are very correct! Umri ukienda wanaingiwa na kiwewe.
Englishlady ungejua mawazo yako naya-support 100% wala usingenichamba namna hii! Mimi sikumaanisha kuwa umri mkubwa ni kitu kibaya au mtu hana haki ya kuishi kwa furaha. Mazungumzo yalikuwa kuhusu maisha wanayoishi hawa ''walimbwende'' kwenye social media. Wengi wanaishi kwa kutegemea ruzuku kutoka kwa wanaume kitu ambacho ni kibaya sana, at least kwangu, kwani wanaume wanaofanya uhusiano nao wengi wanatumia fedha kupata wanachotamani na umri wa binti ukishaenda anawekwa pembeni wale machipukizi wanachukuwa nafasi yake. Hii inasabisha waanze kufanya au kupost vitu vya ajabu ajabu kwa sababu ya stress!Hivi kuwa na umri mkubwa Ni kubaya??
Yaani huwa nawashangaa Sana watu wanafikiri ujana ndio kila kitu....ukiwa na umri mdogo wewe ndio unaishi....wakati mwenye umri mkubwa ndio kala chumvi nyingi na anatakiwa kupongezwa kwa kufika umri huo.
Vijana acheni mindset za kipumbavu