mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,454
Wadada tokea wapigwe chini wamekuwa wakitumia nguvu kubwa kuprove wapo ok,
Hasaa uwoya ndio anataka watu waamini bado mbichi, baada ya kumpoteza ndiku, mara awee picha ya kigodoro mara hivi mara vile zote ni stress tu,
shamsa nae kapigwa chini tu mara apime HIV kwenye vyombo vya habari mara trip Dubai, mara aanike magazeti insta kumchoresha chidi yote hayo ya nini? Ni stress tu
Ezekiel nae toke apigwe chini na iyobo kazi kupiga picha na kijana mdogo kujionyesha yupo ok kumbe ni stress tu
Bibi yetu zari nae miaka 40 now na watoto watano juu lakini hakomi, tokea aachane na mond anateseka mara mapicha picha insta mara, kachukua kitoto huko kinaitwa king bae kina umri kana wa mwanae. ndio mpenzi wake mpya, lakini nyuma ya pazia zote ni stress tu
mkiachika achikeni kimya kimya
Hasaa uwoya ndio anataka watu waamini bado mbichi, baada ya kumpoteza ndiku, mara awee picha ya kigodoro mara hivi mara vile zote ni stress tu,
shamsa nae kapigwa chini tu mara apime HIV kwenye vyombo vya habari mara trip Dubai, mara aanike magazeti insta kumchoresha chidi yote hayo ya nini? Ni stress tu
Ezekiel nae toke apigwe chini na iyobo kazi kupiga picha na kijana mdogo kujionyesha yupo ok kumbe ni stress tu
Bibi yetu zari nae miaka 40 now na watoto watano juu lakini hakomi, tokea aachane na mond anateseka mara mapicha picha insta mara, kachukua kitoto huko kinaitwa king bae kina umri kana wa mwanae. ndio mpenzi wake mpya, lakini nyuma ya pazia zote ni stress tu
mkiachika achikeni kimya kimya