MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Waambie akina Nape wakutumie buku saba yako kwa Mpesa usije kufa njaa hapo.Nikifanya Mzaha Leo Na Mimi Nalala Ktk Gari Kama Dr. Slaa Kwani Hela Yangu Ya Lodge Imeshakata, Muda Unaenda Na Mpaka Sasa Lunch Nimepiga Free Kick ( Sijala ). Bora Tu Ningebaki Dar Nijilie Zangu Tu Mihogo Ya Kukaanga Kwa Mkopo Kuliko Huku Ugenini Dodoma Ambako Sina Hata Ndugu au Rafiki. Leo Si Ndiyo Mwanzo Wa Kupakatwa Na Wagogo?