fungafunga
Senior Member
- Mar 30, 2010
- 116
- 155
Ndugu wanajamvi.
Naomba wataalamu wa kilimo wanijibu swali hili muhimu ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa miaka mingi. Kama karafuu inastawi vizuri unguja na pemba ambayo ni kisiwa chenye hali ya hewa na udongo unaofanana na pwani ya tanzania bara hasa mikoa ya Tanga, Lindi na Mtwara.
Hivi hakuna uwezekano zao hili likawa linastawi katika maeneo haya pia?
Naomba wataalamu wa kilimo wanijibu swali hili muhimu ambalo nimekuwa nikijiuliza kwa miaka mingi. Kama karafuu inastawi vizuri unguja na pemba ambayo ni kisiwa chenye hali ya hewa na udongo unaofanana na pwani ya tanzania bara hasa mikoa ya Tanga, Lindi na Mtwara.
Hivi hakuna uwezekano zao hili likawa linastawi katika maeneo haya pia?