mwakajilae
Member
- Mar 11, 2011
- 58
- 46
Imekaa kiumbea zaidi.
Unataarifa tofauti na alichosema?. Hata hivyo nijuavyo umbea ni habari itolewayo kuhusu mtu fulani bila ridhaa yake na huyo mtu alipenda iwe siri isijulikane. Nataka kuamini kuwa unaujua ukweli na kilicholetwa hapa ni ukweli uliotaka usijulilkane.
nipo njiani kuelekea huko kitaeleweka tuu!!Kuna tetesi za kuendelea kushamiri kwa vitendo vya unyanyapaa kwa walemavu,taarifa hizi zimepatikana kutoka kwa wanakijiji anachoishi Mh Hilda Ngoye(mb) Viti maalumu CCM.,Wakazi wa Kiijiji cha Kikota katika Wilaya ya Rungwe wamemlalamikia Mh Mbunge huyo mwenye mtoto wake wa kwanza wa kiume ambaye ni mlemavu,kuendelea kumuweka ndani zaidi yamiaka ishirini sasa,kinyume na tamko la haki za binadamu,huku huyu mbunge akiwa katika chombo kiubwa cha kutunga sheria na kuwasihi watanzania kuacha kuwanyanyapaa watu wenye ulemavu kwa kuhakikisha wanakuwa sehemu ya jamii na wanapata hudumaote zilizo za msingi zinazo kidhi mahtaji yao,huyu mbunge kwake hili ni kinyume,anazungumza asiyoyatenda,sasa ni wakati muafaka wa wanaharakati kulifuatilia suala hili kwa kina,kuhakikisha wanafika kijiji cha KIkota,kata ya Kiwila wilayani Rungwe ili tuweze kumjumuisha na jamii huyu mwenzetu mtoto wa kumzaa wa mama Hilda Ngoye(mb).,tuhakikishe anahesabiwa katika sensa ya mwaka huu.
Wanakijiji cha Kikota walionyesha maskitiko makubwa juu ya hali ya mbunge huyo kumfungia mwanaye ndani ya nyumba yake kwa mudamrefu sasa.
Taarifa zinatisha kweli!
Tujuzenipo njiani kuelekea huko kitaeleweka tuu!!
TAARIFA YA UONGO NA UZUSHIKuna tetesi za kuendelea kushamiri kwa vitendo vya unyanyapaa kwa walemavu,taarifa hizi zimepatikana kutoka kwa wanakijiji anachoishi Mh Hilda Ngoye(mb) Viti maalumu CCM.,Wakazi wa Kiijiji cha Kikota katika Wilaya ya Rungwe wamemlalamikia Mh Mbunge huyo mwenye mtoto wake wa kwanza wa kiume ambaye ni mlemavu,kuendelea kumuweka ndani zaidi yamiaka ishirini sasa,kinyume na tamko la haki za binadamu,huku huyu mbunge akiwa katika chombo kiubwa cha kutunga sheria na kuwasihi watanzania kuacha kuwanyanyapaa watu wenye ulemavu kwa kuhakikisha wanakuwa sehemu ya jamii na wanapata hudumaote zilizo za msingi zinazo kidhi mahtaji yao,huyu mbunge kwake hili ni kinyume,anazungumza asiyoyatenda,sasa ni wakati muafaka wa wanaharakati kulifuatilia suala hili kwa kina,kuhakikisha wanafika kijiji cha KIkota,kata ya Kiwila wilayani Rungwe ili tuweze kumjumuisha na jamii huyu mwenzetu mtoto wa kumzaa wa mama Hilda Ngoye(mb).,tuhakikishe anahesabiwa katika sensa ya mwaka huu.
Wanakijiji cha Kikota walionyesha maskitiko makubwa juu ya hali ya mbunge huyo kumfungia mwanaye ndani ya nyumba yake kwa mudamrefu sasa.
Mtoa mada ni kama changu anayetumika kwa haja ya mwanaume kwa siku moja, baada ya hapo hahitajiki.Oanisha mantiki inayojengeka katika kichwa cha habari hii na maneno mawili ya mwanzao ya habari yenyewe utaelewa.
- "Uwepo wa taarifa za kutisha...." Maana yake unataka kuleta habari iliyothitishwa au kutafitiwa na unamwondoa mashaka msoma juu ya ukweli wa taarifa yako. Sasa unapoanza kueleza kwa kusema "Kuna tetesi...." it is a contradiction in terms.
- Kwenye tafsiri yako ya "umbea" ongeza hii: Hata kueneza sifa mbaya za mtu usizoweza kuthibitisha ni umbea
Nataka ujue kwamba simjui kabisa huyo anayemzungumzia na wala sina taarifa tofauti na anayoileza. Ni kwamba mleta mada kajichanganya.
Mtoa mada ni kama changu anayetumika kwa haja ya mwanaume kwa siku moja, baada ya hapo hahitajiki.
Ni kijana wa kiume,umri miaka zaidi ya 20,ni mtoto wake wa kumzaa,ni jumamosi ya wiki jana nilikuwako huko na kukutana na wanakijiji cha mbunge,nimezungumza na lika la wazee,wakanithibitishia hilo,ni ulemavu wa akili,wanakijiji wanasikitika lakini wanamuogopa mbunge kama mjuavyo mbunge anavyokuwa mfalme kijijini,binafsi sijamuona,ila wanakijiji ambao ni wazee ndiyo walio nijuza suala hilo.
Hili ni suala zito,najua hapa jamvini kuna wataalamu wa masuala mbalimbali,tuende tukalitafiti ndipo tuje kukanusha ama kusikitika tukiwa na suluhu,mbaya ni kwa mbunge kujifanya ana dunia yake inayoruhusu amnyime ubinadamu mwenzie
Umsema ni Tetesi sasa unasema ni myama hizo tetesi umezidhibitisha? Ichunguzwe kwanza ikishadhibitika hata sisi tutakua na nafasi nzuri zaidi ya kuchangia.