Uwekezaji wa flem ghorofani magomeni Kagera.

Uwekezaji wa flem ghorofani magomeni Kagera.

Dalali wa Mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
1,073
Reaction score
1,563
Habari wakuu.

Nyumba ya Zamani inauzwa magomeni Kagera.
Ipo karibu na morogoro Road au kituo cha mafuta cha oilcom.

Sqm 400
Hati Safi
Hakuna mgogoro wa kifamilia au kiserikali.

Bei ya nyumba hii ni milion 680
📱0754693556 nipigie nikupeleke.
 
Usiwe mpuuzi, utauzaje kitu bila kuweka picha?
Nimeweka namba za simu hizo mkuu.

Wauzaji wengine hawapendi nyumba zao zipigwe picha au zionekane kwenye mitandao.

Ndio mana nimeweka namba ya simu ili kama utahitaji kuona nitumie ujumbe wasap nitakutumia picha.
 
Nimeweka namba za simu hizo mkuu.

Wauzaji wengine hawapendi nyumba zao zipigwe picha au zionekane kwenye mitandao.

Ndio mana nimeweka namba ya simu ili kama utahitaji kuona nitumie ujumbe wasap nitakutumia picha.
Basi ukiona hivyo huyo muuzaji hayuko serious na uuzaji nyumba yake, anaogopa wenyewe wataiona.
 
Kumpeleka mtu kwenda kuiona nyumba shing' ngapi? Mjini nenda na akili tu,vingine utavikuta huko huko.!
Mimi sichaji Hela ya kukupeleka mkuu elewa Hilo.

Mnunuzi haulizi Bei ya kupelekwa kuona shamba,nyumba au kiwanja pengine hata Godowns.

Kwahiyo ukiwa Tayari nipigie simu bureee kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom