Z zakarya Member Nov 1, 2015 36 5 May 23, 2019 #1 Ninatafuta partner kuwekeza kwenye Kilimo Tango. Tufanya mazao mbalimbali lakini mazao yanayouzwa vizuri
Ninatafuta partner kuwekeza kwenye Kilimo Tango. Tufanya mazao mbalimbali lakini mazao yanayouzwa vizuri
Ihayabuyaga JF-Expert Member Aug 22, 2011 413 479 May 24, 2019 #2 sijui ni uelewa wangu mbovu ama nini...nadhani taarifa haijitoshelezi ama hujafanya utafiti wa hicho unachokitafuta1
sijui ni uelewa wangu mbovu ama nini...nadhani taarifa haijitoshelezi ama hujafanya utafiti wa hicho unachokitafuta1
Z zakarya Member Nov 1, 2015 36 5 May 24, 2019 Thread starter #3 Ihayabuyaga said: sijui ni uelewa wangu mbovu ama nini...nadhani taarifa haijitoshelezi ama hujafanya utafiti wa hicho unachokitafuta1 Click to expand... Ninataka kusema kwamba inawezekana kulima mazao mengi, hamna zao moja tu kwenye kiwanja kimoja.
Ihayabuyaga said: sijui ni uelewa wangu mbovu ama nini...nadhani taarifa haijitoshelezi ama hujafanya utafiti wa hicho unachokitafuta1 Click to expand... Ninataka kusema kwamba inawezekana kulima mazao mengi, hamna zao moja tu kwenye kiwanja kimoja.
chilundu JF-Expert Member Sep 28, 2013 347 220 May 24, 2019 #4 zakarya said: Ninataka kusema kwamba inawezekana kulima mazao mengi, hamna zao moja tu kwenye kiwanja kimoja. Click to expand... mkuu nipe mawasiliano yako
zakarya said: Ninataka kusema kwamba inawezekana kulima mazao mengi, hamna zao moja tu kwenye kiwanja kimoja. Click to expand... mkuu nipe mawasiliano yako
G8M8 JF-Expert Member Jan 24, 2019 432 389 Jun 9, 2019 #5 Na mm nakomaa but alone ningeona uzi wako ningekutafuta