Wazo zuri sana mkuu, lakini sasa hata kama ni tangazo ndio liwe jepesi namna hiyo? Ungeweka michoro inayoonyesha mpangilio wa vyumba na ikiwezekana makadirio ya vifaa vya ujenzi uone kama watu hawajakutafuta kwa biashara!!!
Jaribu kupitia hata website za ramani mitandaoni wanaweka baadhi full detailed.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.