Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,488
- 7,938
Simba VS Azam: Leo ni vita kati ya kinara wa ligi kuu, Mnyama Simba dhidi ya Wanalambalamba wanaotaka kurejea nafasi ya pili baada ya jana Yanga SC kuikwea. Azam FC anahitaji ushindi ili kurejea nafasi ya pili pia ushindi utapunguza utofauti kati yake na kinara wa ligi.
Upande wake, Simba SC anahitaji ushindi kujiimarisha kileleni ambapo zitakuwa alama saba kati yake na Yanga SC kama Azam FC atapoteza mchezo wa leo.
Kuwa nami mishale ya saa kumi na nusu kukujuza kitachojiri uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
=======
Kikosi cha Simba SC:
Aishi Manula, Erasto Nyoni, Yusuph Mlipili, James Kotei, Kapombe, Asante Kwasi, Shiza Kichuya, Said Ndemla, Emmanuel Okwi, John Bocco, Jonas Mkude.
SUB: Ally Salim, Gyan, Bukaba, Kazimoto, Mzamiru, Mavugo, Mohamed Hussein.
Kikosi cha Azam FC:
Razak Abalora, Daniel Amoah, Bruce Kangwa, Yakubu Mohammed, Agrey Moris. Stephan Kingue, Iddi Kipagwile, Frank Domayo, Mbaraka Yusuf, Yahya Zayd, Enock Atta.
SUB: Mwadini, Mwantika, Kheri, Hoza, Arthur, Sureboy, Shabani Iddi.
=======
00' Kipenga kinapulizwa kuashiria mpira kuanza, Simba 0-0 Azam.
01' Shiza Kichuya anajaribu kumpenyezea mpira safi John Bocco lakini mwamuzi wa pembeni anashoosha kibendera cha offside.
03' Simba wanapata kona ya kwanza na kipa kuugonga nje, kona pacha kwa simba na golikipa anafanikiwa kuondoa hatari.
05' Okwi anamjaribu kipa wa Azam lakini inakuwa chakula kwake na kuudaka barabara.
13' Azam wanajaribu kuingia kwenye 18 ya Simba kimaridadi lakini Yusuph Mlipili anatibua hesabu zao na kuutoa mpira nje, kona kwa Azam.
14' Aishi Manula anapangua kona ya Azam iliyokuwa inaelekea kuwa goli.
21' Shiza anapiga kona moja kwa moja golini lakini Golikipa wa Azam anautia mikononi.
23' Emmanuel Ikwi anapiga shuti kali lakini unakuwa chakula kwa golikipa wa Azam.
24' Simba wanajaa kwenye lango la Azam, Kapombe anapaisha juuu.
28' Okwiiiii, almanusura Simba iandike bao la kwanza lakini mpira unapita pembeni kidogo mwa goli.
37'Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Emmanuel Okwi anaitanguliza Simba kwa goli la kuongoza baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa beki Erasto Nyoni na kuunganisha huku akimwacha kipa wa Azam Razak
Abalora akiwa hana la kufanya
40' Faul inapigwa kwenda lango la Simba lakini inadhibitiwa na mabeki wa Simba
42' Faul inapigwa kwenda lango la Azam lakini mipango inashindwa kuzaa matunda
45' Azam wameongeza mashambulizi kweda lango la Simba lakini wanadhibitiwa na beki line ya simba.
Mpira ni mapumziko
Simba 1, Azam 0
Kipindi cha tayari Kimeanza
45' Azam wanamuingiza Shaban Idd Chilunda
50' Jonas mkude anaonyeshwa kadi ya njano kwa mchezea faul mchezaji wa azam
51' Emmanuel anaonyeshwa kadi ya njano, faul inapigwa lango la simba lakini inadhibitiwa
53' Bado azam wanaliandama lango la Simba ili kujipatia goli
56' Anatoka Idd Kipangile anaingia Abubakar Sureboy
57' Asante Kwasi anaonyeshwa kadi ya njano baada ya kucheza rafu
58' Azam wanafanya shambulizi matat kupitia kwa shaban Chilunda lakini anachelewa kupiga na kujikuta anadhibitiwa.
60'Louis Kangwa anapiga shuti akimtafuta Agrey Moris lakini linakuwa kubwa na kutoka nje.
62' Azam wanapanga mashambulizi kwenye lango la Simba lakini wanachelewa.
64'Emmanuel Okwi anawekwa chini na Agrey Moris, faul inapigwa kuelekea lango la Azam.
65'Simba wanafanya shambulizi kwenye lango la Azam lakini inaharibika baada ya Okwi na Boko kushindwa kuelewana namna ya kuupiga mpira.
67' Daniel Amor anaonyeshwa kadi ya njano
68' Said Hamis Ndemla anatoka na amingia Mzamiru Yasin
71' Emmanuel Okwi anapiga kichwa kimoja hatari lakini kipa wa azam anaipangua
72' Shiza kichuya anapokea pasi na kupiga shuti moja matata lakini anashindwa kuilenga vizuri golini
75' Timu zote zinashambuliana kwa zamu japo simba wanaonekana kufika kwenye lango la Azam mara nyingi zaidi
79' Azam wanafanya mashambulizi kwenye lango la simba lakini yanashindwa kuzaa matunda
82'Kipa simba Aishi Manula anaonyeshwa kadi ya njano kwa kupoteza muda
84' Simba wanamtoa Okwi na kumuingiza Nicolaus Gyan
85' Kona inapigwa kuelekea lango la Simba ila haijazaa matunda
87'Shaban Idd Chilunda anaingiza mpira ndani lakini Aishi Manula anaidaka
90' Azam wanafanya shambulizi la nguvu kwenye lango la simba lakini linakataliwa
90+2' Na mpira umekwisha
Simba 1, Azam 0
Simba inajikita kileleni kwa pointi 41
Upande wake, Simba SC anahitaji ushindi kujiimarisha kileleni ambapo zitakuwa alama saba kati yake na Yanga SC kama Azam FC atapoteza mchezo wa leo.
Kuwa nami mishale ya saa kumi na nusu kukujuza kitachojiri uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
=======
Aishi Manula, Erasto Nyoni, Yusuph Mlipili, James Kotei, Kapombe, Asante Kwasi, Shiza Kichuya, Said Ndemla, Emmanuel Okwi, John Bocco, Jonas Mkude.
SUB: Ally Salim, Gyan, Bukaba, Kazimoto, Mzamiru, Mavugo, Mohamed Hussein.
Razak Abalora, Daniel Amoah, Bruce Kangwa, Yakubu Mohammed, Agrey Moris. Stephan Kingue, Iddi Kipagwile, Frank Domayo, Mbaraka Yusuf, Yahya Zayd, Enock Atta.
SUB: Mwadini, Mwantika, Kheri, Hoza, Arthur, Sureboy, Shabani Iddi.
=======
00' Kipenga kinapulizwa kuashiria mpira kuanza, Simba 0-0 Azam.
01' Shiza Kichuya anajaribu kumpenyezea mpira safi John Bocco lakini mwamuzi wa pembeni anashoosha kibendera cha offside.
03' Simba wanapata kona ya kwanza na kipa kuugonga nje, kona pacha kwa simba na golikipa anafanikiwa kuondoa hatari.
05' Okwi anamjaribu kipa wa Azam lakini inakuwa chakula kwake na kuudaka barabara.
13' Azam wanajaribu kuingia kwenye 18 ya Simba kimaridadi lakini Yusuph Mlipili anatibua hesabu zao na kuutoa mpira nje, kona kwa Azam.
14' Aishi Manula anapangua kona ya Azam iliyokuwa inaelekea kuwa goli.
21' Shiza anapiga kona moja kwa moja golini lakini Golikipa wa Azam anautia mikononi.
23' Emmanuel Ikwi anapiga shuti kali lakini unakuwa chakula kwa golikipa wa Azam.
24' Simba wanajaa kwenye lango la Azam, Kapombe anapaisha juuu.
28' Okwiiiii, almanusura Simba iandike bao la kwanza lakini mpira unapita pembeni kidogo mwa goli.
37'Gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Emmanuel Okwi anaitanguliza Simba kwa goli la kuongoza baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa beki Erasto Nyoni na kuunganisha huku akimwacha kipa wa Azam Razak
Abalora akiwa hana la kufanya
40' Faul inapigwa kwenda lango la Simba lakini inadhibitiwa na mabeki wa Simba
42' Faul inapigwa kwenda lango la Azam lakini mipango inashindwa kuzaa matunda
45' Azam wameongeza mashambulizi kweda lango la Simba lakini wanadhibitiwa na beki line ya simba.
Mpira ni mapumziko
Simba 1, Azam 0
Kipindi cha tayari Kimeanza
45' Azam wanamuingiza Shaban Idd Chilunda
50' Jonas mkude anaonyeshwa kadi ya njano kwa mchezea faul mchezaji wa azam
51' Emmanuel anaonyeshwa kadi ya njano, faul inapigwa lango la simba lakini inadhibitiwa
53' Bado azam wanaliandama lango la Simba ili kujipatia goli
56' Anatoka Idd Kipangile anaingia Abubakar Sureboy
57' Asante Kwasi anaonyeshwa kadi ya njano baada ya kucheza rafu
58' Azam wanafanya shambulizi matat kupitia kwa shaban Chilunda lakini anachelewa kupiga na kujikuta anadhibitiwa.
60'Louis Kangwa anapiga shuti akimtafuta Agrey Moris lakini linakuwa kubwa na kutoka nje.
62' Azam wanapanga mashambulizi kwenye lango la Simba lakini wanachelewa.
64'Emmanuel Okwi anawekwa chini na Agrey Moris, faul inapigwa kuelekea lango la Azam.
65'Simba wanafanya shambulizi kwenye lango la Azam lakini inaharibika baada ya Okwi na Boko kushindwa kuelewana namna ya kuupiga mpira.
67' Daniel Amor anaonyeshwa kadi ya njano
68' Said Hamis Ndemla anatoka na amingia Mzamiru Yasin
71' Emmanuel Okwi anapiga kichwa kimoja hatari lakini kipa wa azam anaipangua
72' Shiza kichuya anapokea pasi na kupiga shuti moja matata lakini anashindwa kuilenga vizuri golini
75' Timu zote zinashambuliana kwa zamu japo simba wanaonekana kufika kwenye lango la Azam mara nyingi zaidi
79' Azam wanafanya mashambulizi kwenye lango la simba lakini yanashindwa kuzaa matunda
82'Kipa simba Aishi Manula anaonyeshwa kadi ya njano kwa kupoteza muda
84' Simba wanamtoa Okwi na kumuingiza Nicolaus Gyan
85' Kona inapigwa kuelekea lango la Simba ila haijazaa matunda
87'Shaban Idd Chilunda anaingiza mpira ndani lakini Aishi Manula anaidaka
90' Azam wanafanya shambulizi la nguvu kwenye lango la simba lakini linakataliwa
90+2' Na mpira umekwisha
Simba 1, Azam 0
Simba inajikita kileleni kwa pointi 41