Ila wajeda bwana kuna wakati wana mizinguo, naamini wangeweza kuweka hata mabenchi ya muda wakaamua kukausha. Halafu wakaweka kiingilio buku 10. Dah au ni kulipiza kisasi kwa Simba kuishusha daraja Ruvu Shooting msimu uliopita?
Ule uwanja ukitunzwa vizuri utakuwa uwanja Bora sana huwezi kulinganisha na viwanja vyote ambavyo vimecheza round hii ya mwisho (Pitch) mpira ulikuwa unatembea vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.