Ukitokea magomeni kama unakwenda manzese ukipita tu kituo cha Argentina kuna barabara inaingia kulia ambayo inafika mpaka Tandale, ukiifuata tu hiyo hapo mbele kidogo ndo uwanja wa fisi, kama ww ni mtu wa kubeba manyau, hutapata taabu kupafahamu..kila rahel mpiganaji uniletee mrejesho ukifika huko...