Ni eneo fulani pale Manzese wanauza ulabu wa kienyeji, nyama zisizoelezeka mapupu, masikio nk, wadada poa hadi shilingi 500 mchana kweupe, starehe zilezile huko kwenu pale zipo kimtindo wake kwa bei poa at your own risk! Pembeni palianzishwa kanisa la walokole.