ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,117
- 49,840
Uvuvi Haramu Warejea Kwa Kasi Dar, viongozi wapo licha ya Luhaga Mpina kuonya ila alibezwa..
Je wenye dhamana wameshindwa au ni dili zao?
=====
Wavuvi katika soko la samaki Msasani wameiomba Serikali kuingilia kati ili kukomesha uvuvi haramu unaoendelea kwa sasa ambapo wamesema vipo vikundi vya wavuvi ambao wameanza kutumia mabomu na baruti kuvua Samaki.
Hali inayosababisha upotevu wa samaki sokoni lakini pia kuua mazalia ya samaki hao.
Je wenye dhamana wameshindwa au ni dili zao?
=====
Wavuvi katika soko la samaki Msasani wameiomba Serikali kuingilia kati ili kukomesha uvuvi haramu unaoendelea kwa sasa ambapo wamesema vipo vikundi vya wavuvi ambao wameanza kutumia mabomu na baruti kuvua Samaki.
Hali inayosababisha upotevu wa samaki sokoni lakini pia kuua mazalia ya samaki hao.