Uvutaji bangi wakithiri chuo cha DIT Dar

Uvutaji bangi wakithiri chuo cha DIT Dar

Leo nimepata bahati ya kutembelea chuo cha elimu ya biashara CBE , Ambacho kinapakana na chuo cha DIT kwa kutenganishwa na ukuta tu. Nimeshuhudia vijana wa DIT Wakiwa makundi makubwa nyuma ya mnara wa simu maeneo ya viwanjani wakivuta bangi bila wasiwasi ndani ya eneo la chuo chao .

Wanafunzi wa CBE wanadai hili swala ni la muda na imekuwa kero kwani Moshi wote unaishia CBE uongozi wa chuo cha DIT Fatilieni jambo hili kama sio wanafunzi kwanini chuo kiruhusu uhuni huu ndani ya eneo lake??
Acha unoko wewe...ukitaka wanywe viroba?
 
achana na maisha ya watu fanya yako.ifm pale kuna chobisi inaitwa bakchaa.ni pembeni tu ya makao makuu ya magereza .lakini watu wanavuta 24hrs.na ndo imewasaidia kupata vyeti.waulize kina rado na cpwaa
 
1) Uliwezaje kuwaona wakati kuna ukuta wa fensi tena wa Matofali unaotenganisha DIT na CBE?

2) Je, walikuwa ni Vijana wangapi ambao uliwaona wanavuta bangi?

3) Unawezaje kuthuthibishia kwamba Vijana walikuwa wanavuta bangi na sio kitu kingine?

4) Hao uliowaona wanavuta bangi, walikuwa wanatumia Vifaa gani kuvuta bangi?

5) Naomba utuwekee hapa picha ya uthibisho kamavingenevyo utakuwa unatafuta kiki hapa JF!
Mbona pumba
 
Yap tena wamechanganyika na wanachuo wa cbe kwasababu cbe wamekuwa wakali kwahyo chama lote lipo dit.
 
Wapo ndani ya eneola chuo ambapo mtu wa kawaida hawezi fika bila kupita getini
Kabla hujaandika fanya research kwanza eti wapo ndani ya chuo na mtu mwingine hawezi fika bila kupitia getini.uliambiwa geti la dit linazuia watu wa wasio wanafunzi kupita .alafu unaonekana mwamasu wewe kama siyo wa shinyanga utakuwa bukoba kabisa
 
Back
Top Bottom