eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Mkuu wa polisi wilaya ya Kahama hii ni sababu mfu na kukandamiza ile ile demokrasia tu
Mtu yuko jimboni kwake mnamletea sababu mfu why lakini police
Au ni maagizo ya mkuu wa wilaya?
hiko kikao hakina umuhimu wowote ! Leo watu tumepumzika na familia zetu, hutak nenda ujue ni nani aliyeunga chumvi baharini
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwambia hakuna kikao mkajifanya wajuaji, fanyeni siasa kwenye mitandao ya kijamii Chadomo nyie
Mkuu wa polisi wilaya ya Kahama hii ni sababu mfu na kukandamiza ile ile demokrasia tu
Mtu yuko jimboni kwake mnamletea sababu mfu why lakini police
Au ni maagizo ya mkuu wa wilaya?
Niliwambia hakuna kikao mkajifanya wajuaji, fanyeni siasa kwenye mitandao ya kijamii Chadomo nyie
Sent using Jamii Forums mobile app