TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,810
Pamoja na Kuwa Tanzania Wapinzani na Watu wengine wanaikosoa Serikali na Wakati mwingine Rais Moja kwa Moja, Haijatokea Mbunge au Kiongozi mwingine yeyote Kumpinga Rais Kwa Kejeli na Dharau kwa Kiasi hiki, Jujulius Malema alivyomfanyia Rais Zuma tena Mbele yake. Lakini Ninachomheshimu sana Jakob Zuma, Pamoja na Kuwa wana jeshi Kubwa na Polisi wengi kuliko Tanzania, anatabasamu tu na kuacha msemaji ahukumiwe kwa upuuzi wake mwenyewe.
Inakuwaje Tanzania Inakuwaje Wapinzani wanakamatwa hovyo, Mpaka serikali inafuata watu wanachosema Whats app Kusikiliza mazungumzo binafsi na kufuungulia watu Mashitaka. Ingawa siungi mkono kumtuka yeyote labda aanze yeye matusi.
Kungekuwa na Utovu wa Nidhamu wa kiasi hiki, Nisingesema Kitu Kama Watu wangeshitakiwa.
Hebu sikia hii
Inakuwaje Tanzania Inakuwaje Wapinzani wanakamatwa hovyo, Mpaka serikali inafuata watu wanachosema Whats app Kusikiliza mazungumzo binafsi na kufuungulia watu Mashitaka. Ingawa siungi mkono kumtuka yeyote labda aanze yeye matusi.
Kungekuwa na Utovu wa Nidhamu wa kiasi hiki, Nisingesema Kitu Kama Watu wangeshitakiwa.
Hebu sikia hii