uvimbe mishipa ya fahamu mgongoni

Richbest

Senior Member
May 23, 2011
101
24
Habar za wikend wapendwa? Niliwah kuumia mgongoni mwaka juz mti ulinigandamiza mgongoni kwenye uti WA mgongo toka wakat huo nimekuwa na maumivu na nimepiga xray ila haikuonesha tatzo nikapewa dawa tu pia nimepima ESR inaonesha Kuna uvimbe nikapewa diclofenal gel na tablets zake ila bado maumivu hayaishi swali ni je dawa gan nitumie inayoweza ondoa uvimbe huo na kupona kabisa? Nategemea sana mawazo yenu sina aman kabisa
 
Daah wadau naomben msaada wenu ni muhim saana
ESR inaonyeshaje uvimbe kwenye uti wa mgongo?? ESR sio kipimo cha picha (imaging) kwa hiyo hakiwezi kuonyesha kuwa kuna uvimbe sehemu fulani hata siku moja!! Sijui ni hospitali gani walikufanyia hicho kipimo wakakwambia hivyo, lakini wameku mislead sana tena sana!!
Ushauri wangu: unahitajika kufanyiwa kipimo cha CT Scan ya uti wa mgongo, at least hicho kitaonyesha nini kinaendelea kwenye uti wako wa mgongo.
Kama uko dar nenda hapo MOI, kuna madaktari bingwa wa mifupa, uti wa mgongo na ubongo utafanyiwa vipimo stahiki na kupata tiba.
Kama upo dar, kesho alfajiri amkia MOI Richbest
 
Asante saana doctor kwa maelezo yako kwa sasa nipo dodoma wilayan nilienda kituo cha afya ngoja nijitahid niende hospital kubwa sasa hapo dodoma mjini
 
Back
Top Bottom