BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Nimeongea na mwenyekiti wa UVCCM wilaya moja ya mkoa Kilimanjaro. Nimeuuliza mbona sasa wanaigeula serikali na wao ni watoto akinijibu kuwa wanaweka shinikizo ili Ngeleja ajiuzulu. Na amenihakikishia kwamba wao hawakukurupuka kuongea ila kitu ni well planned.