Binti255
Senior Member
- Nov 28, 2016
- 130
- 161
UVCCM wamemvaa Maalim Seif kutokana na Kauli yake alipokuwa ziarani Mkoa wa Mjini magharibi kudai kuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu anaunga mkono upinzani.
Ndipo kaimu katibu Mkuu wa UVCCM Shaka akalisemea kidogo suala la Maalim Seif,
"Maalim Seif amefukuzwa CCM mwaka 1987 kwa jaribio la kutaka kuipasua CCM kwa majungu, fitna na uchochezi .Mwalimu Julius Nyerere alimbeba Maalim Seif kichwani akaambiwa Mzee huyo kiumbe ni mzito humuwezi akabisha, Mwishowe akamtupa na kumfukuza "Shaka
Kwa taarifa zaidi soma Gazeti la Mtanzania

Ndipo kaimu katibu Mkuu wa UVCCM Shaka akalisemea kidogo suala la Maalim Seif,
"Maalim Seif amefukuzwa CCM mwaka 1987 kwa jaribio la kutaka kuipasua CCM kwa majungu, fitna na uchochezi .Mwalimu Julius Nyerere alimbeba Maalim Seif kichwani akaambiwa Mzee huyo kiumbe ni mzito humuwezi akabisha, Mwishowe akamtupa na kumfukuza "Shaka
Kwa taarifa zaidi soma Gazeti la Mtanzania

