UVCCM waanza kampeini ya kumsifu Makonda kukiuka sheria

Katika kila Uvccm watano basi watatu ni 'Chakula'.....it's 3/5..!! Birds of the same feather flock together
 
Wakudadavuwa kama umesikiliza bunge vizuri usingepayuka hovyo. Bunge na makonda nan mkuu? Inamaana mawaziri wao hawajaona wauzaji? Inamaana iGP hakuwaona? Haya rais Kateua kiongoz wa kitengo cha madawa makonda ajifunze atazeeka mapema marinda yule
 
Avatar yako tu ni ishara tosha...........inawezekana ukawa mnufaika wa biashara hiyo
 
Njaa inavisumbua hivi vitakataka, si unaona hapo eti vinatengeneza t shirt na kuziuza 20000/=...
Buku7 hawapati tena wameona wachomekee hili suala ili wapate chochote, kwanza zitabuma mpaka sana...
 
Kwa masikitiko makubwa kabisa. Nilitegeme bavicha na cdm kwa ujumla tunge support jitihada za makonda kama chama la kutetea wanyonge. Lkn badala yake baadaya kutuhumiwa mkubwa wetu bac tumepinga hiyo vita kwa100%.mala oooh kaingilia kazi isiyo yake ,mala ooh yuko kinyume na sheria.hivi nani hasa anatakiwa kupambana na madawa ya kulevya?
 
Wapuuzi sana wale watoto wamejazwa kwenye media kila mahali kutetea uvunjifu wa sheria, makonda anaharibu ushahidi wa madawa badala ya kumwambia ukweli wao wanampamba kwa vile tu naye ni mwanaccm
 
Magufuli mwenyewe ufisadi umemshinda na kujenga viwanda vimemshinda sembuse dawa za kulevya,je wale polisi aliowataja Makonda mbona wenyewe hawajapelekwa mahakamani na kamanda Sirro na yeye Makonda alisema ni muuza sisha mbona hajakamatwa?
 
Watu badala ya kusifia uthubutu wa hii serikali wanamtetea mbowe. Mfyuuu!!

uthubutu upi? au wakutaja taja majina ya watu bila ushahidi wowote? mwambieni makonda kufanya vioja vya kisiasa. kwanza aende shule akajifunze masuala ya uongozi wa umma.
 
Magufuli mwenyewe ufisadi umemshinda na kujenga viwanda vimemshinda sembuse dawa za kulevya,je wale polisi aliowataja Makonda mbona wenyewe hawajapelekwa mahakamani na kamanda Sirro na yeye Makonda alisema ni muuza sisha mbona hajakamatwa?

viongozi wa aina ya makonda ni liability kwa chama cha mapinduzi.
 
IVI NYIE CHAMDEMA MNATAKA KUGEUZA HII VITA DHIDI YA MADAWA YA KULEVYWA NI YA WANA CCM NA SIO YA WATANZANIA?

MBONA MNAPOTEZA MUELEKEO? KUWA CHAMA PINZANI HAINA MAANA MNAPASWA KUPINGA KILA JAMBO JEMA KWA TAIFA.

NDIO MAANA KATIKA KAMPENI HIYO YA KUMUUNGA MKONO MAKONDA NA RAIS KTK KUPAMBANA, AMEALIKWA KILA MTU (kwa mujibu wa maelezo yako ya haya ya 4) ALIO TAYARI KULIOKOA TAIFA KUTOKA KTK MADAWA YA KULEVYA.

KUHUSU UHALALI WA MAKONDA KUWAITA NA KUWAHOJI WATU WANAOSHUKIWA NI SAHIHI KWA MUJIBU WA SHERIA HIZI HAPO CHINI (kifungu namba tano):
Screenshot_20170211-115058.png
Screenshot_20170211-115050.png


PIA, NANYINYI WEKENI SHERIA ZINAZOMKATAZA MAKONDA KUFANYA HIVYO ILI TUZISOME WENYEWE, NASIO KUTUMESHA TU MANENO.

"Niambie neno nilielewe neno, usiniambie neno nilikalili neno"
 
Ndio ninavyowapenda UVCCM wameshapata dili..wanatengeneza hela ya fedhwa kupitia janga hili balaa kabisaa. Kweli kufa kufaanaa looh. Huree UVCCM hureee RC
 
Hayo maandamano yatamwaibisha tu raisi, wasimuusishe na mbinu unprofessional anazotumia konda.

Na wabunge wanasumbuliwa sana kwenye simu na konda wapelekewe waandishi wa habari waseme wanamuunga mkono.

Hata afanyeje mwisho wa movie umeshajulikana, steringi atauawa.
 
Hawa bora hata Bandera upepo ukitulia na yenyewe inapumzika.. Hawa ni zaidi hata ya mashabiki WA nyimbo za mipasho. Ni zaidi ya vibugu
 
Makonda anajidanganya na anawadanganya watoto wa watu nao wanaingia kichwakichwa na tunafahamu hizo T-shirt anawachapishia yeye mwenyewe mwisho wa siku Petro atamkana kabla jogoo halijawika
Jamaa anavyopenda sifa hilo siwezi kupinga alishawahi kuwapa pesa Yamoto bendi wamtungie wimbo kwenye kampeni ya usafi sharti wataje jina lake.
 
Nakubaliana kabisa na maandamno hayo ya Amani ya kupinga biashara haramu ya Madawa ya kulevya.

CCM itatawala milele kwa ubunifu wao walio nao kuanzia vijana wake tofauti na wale wa Upande wa pili wanaoshabikia wahalifu na uhalifu.
 
Back
Top Bottom