UVCCM mbona hamchangii ripoti ya CAG?

Hao vilaza kazi wanayoweza ni kuchoma moto masoko tu.
 
Nachojua mwizi hawezi jisema mwenyewe maana Kama hawajaiba wao walioiba no ndugu za hao uvccm Sasa watachangia nini hapo.
 
Naona kila kitu wanamwachia mzee Warioba ndiyo akosoe sjui wazee wa hiki chama wako.wapi wengine.
 
point kabisa mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…