UVCCM Jordan kufanya uchaguzi wiki hii

UVCCM Jordan kufanya uchaguzi wiki hii

Chimunu

Senior Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
159
Reaction score
25
Katika kile kinachoonekana kuwa ni kukomaa kwa demokrasia vijana wanachama wa ccm chuo kikuu cha jordani wanatarajia kufanya uchaguzi wa viongozi wake wiki hii
wakati huo huo kada maarufu wa ccm chuoni hapo ndugu chesko lwayo amejitosa katika kuwania uongozi katika jumuiya hiyo
kada huyo ambae amekuwa maarufu kutokana na uwezo wa kisiasa anaonekana kuungwa mkona na wanachama wengi
hivyo wapenzi na washabiki wote wa chadema wamekua wkihofia kutokana na umaarufu huo anaweza aka sambaratisha chadema katika chuo hicho kutokana pia kupata uungaji mkono hata toka kwa wshabiki na wana chadema wa chuoni hapo
source mimi mwenyew nipo morogoro maana hiki chuo ni ngome kuu ya ccm na wanafunika saana
 
All the best, lakini waambie wanapishana wenzake wanaotoka huko!!
 
Usidanganye umma,tupo Jordan chuoni-moro wala hakuna cha ngome ya ccm.Tatizo unakimbilia wali pale usambala kutoka kwa Abood.Acha mazo mgando nani ashabikie magamba leo hii.
 
Ndio mazoea ya watu waccm kusema uongo wanawarithisha hata vijana wadogo kama hawa kusema uongo. Mimi ni mwanafunzi hapa chuo na hicho alichokiandika ni uongo mtupu,rais na cdm na viongozi karibu wote ni cdm. Sasa aniambie wanapofunikia ni wapi? Acha uwongo mchana kweupe
 
Usidanganye umma,tupo Jordan chuoni-moro wala hakuna cha ngome ya ccm.Tatizo unakimbilia wali pale usambala kutoka kwa Abood.Acha mazo mgando nani ashabikie magamba leo hii.

tatizo nyie wafuasi hewa wa chadema hamna msimamo na mawazo endelevu mpo kama upepo ukivuma huku mpo kule mpo.ndo maana hamuendelei
kesho ikija ccj wote mpo huko
utaishia kuwa mwalimu hivo hivo
tulitegemea upandishe elimu ndo kwanza unachangia kushusha elimu daaa
 
Ndio mazoea ya watu waccm kusema uongo wanawarithisha hata vijana wadogo kama hawa kusema uongo. Mimi ni mwanafunzi hapa chuo na hicho alichokiandika ni uongo mtupu,rais na cdm na viongozi karibu wote ni cdm. Sasa aniambie wanapofunikia ni wapi? Acha uwongo mchana kweupe

wewe fuatilia mambo usikurupuke
ndo tatizo lenu hapo chadema
kukurupuka bila kufuatilia pole mwalimu
 
Acha kujidhalilisha wewe! nipo jordan(JUCOL) hakuna cha CCM wala magamba. hata ofisi za ccm hakuna! afadhari CDM JORDAN wao wana ofisi zao pale njia panda,nyie hamzidi hata 10 hapo juco. msalimieni jamaa yenu wa UVCCM-ilemela ambae anasoma hapo JORDAN mwaka wa tatu muulizeni kwanini ANTON DIALO alishindwa kule ilemela wakati yeye anajifanya kuwa alikuwa Campaign-Manager?
 
Sasa unafikiri kuongeza elimu mpak uwe ccm.?Naona unatoa mapovu,CCM hakuna chochote.
 
tatizo nyie wafuasi hewa wa chadema hamna msimamo na mawazo endelevu mpo kama upepo ukivuma huku mpo kule mpo.ndo maana hamuendelei
kesho ikija ccj wote mpo huko
utaishia kuwa mwalimu hivo hivo
tulitegemea upandishe elimu ndo kwanza unachangia kushusha elimu daaa

ukisema wataishia kuwa waalimu, napata picha kuwa umeahidiwa ukuu wa wilaya, kwa taarifa yako kwenye katiba mpya hicho cheo hatukihitaji hata hivyo kwa mwaka utakaomaliza wewe CDM itakuwa madarakani wazandiki na wakuda kama wewe hawatakuwa na nafasi.

usivyo na haya, unashidwa hata utetea hoja yako, waliopo chuoni wamewaambia kuwa hata prez wa Jordan ni CDM, wewe wa mtaani unaleta uongo wako, angalia ndugu huo ubwabwa!!!! Build your future men.....!
 
Sasa unafikiri kuongeza elimu mpak uwe ccm.?Naona unatoa mapovu,CCM hakuna chochote.

ww inaonekana huna kitu na cdm umeijulia hapo juco ila nature yako ni ccm mkuu najua ila ushamba wenu wana chadema
kujifanya mnajua kila kitu ccm itatawala na hiyo 2015 hamchukui nchi na ndo mwisho wenu
 
tatizo nyie wafuasi hewa wa chadema hamna msimamo na mawazo endelevu mpo kama upepo ukivuma huku mpo kule mpo.ndo maana hamuendelei kesho ikija ccj wote mpo huko utaishia kuwa mwalimu hivo hivo tulitegemea upandishe elimu ndo kwanza unachangia kushusha elimu daaa
Naona umeshikwa nyeti laivu!!! Njia ya mwongo ni fupi!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom