UVCCM ilikuhitaji kabla ya uteuzi wako

UVCCM ilikuhitaji kabla ya uteuzi wako

MAUMA

Member
Joined
Oct 16, 2012
Posts
33
Reaction score
7
Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni Cha Kongwe Afrika na Dunia huwezi kukitofautisha na chama kama Communist Party of China(CPC) na African National Congress(ANC) cha Aftica Kusini. Pamoja na ukongwe kwa umri ni chama chenye historia ya kusimamia maamuzi magumu na yenye tija kwa Taifa.

Chama Cha Mapinduzi kina utaratibu wa kufanya uchaguzi ndani ya chama kila baada ya miaka mitano, hii inaendelea kuonyesha ukomavu wa chama hichi kidemokrasia

Kwa sasa idadi kubwa ya watanzania ni vijana ni zaidi ya 65% ya watanzania wote, chama kilitambua umuhimu wa vijana ndani ya CCM kwa kuanzisha na Jumuiya ya vijana (UVCCM) yenye lengo lengo la kuwafikia vijana wote wa kitanzania kuwasikiliza na kutatua changamoto zao hii ni kutokana na umuhimu wa kundi hili katika ujenzi wa Taifa letu.

Pamoja na kuwepo kwa jumuiya zingine kama UWT na WAZAZI ndani ya CCM, Jumuiya ya vijana ndiyo tegemeo kubwa kwa CCM kulingana na rika, uwezo na nguvu za kufanya kazi.

Halmashauri Kuu ya CCM iliyoketi tarehe 21/11/2017 ilifanya uteuzi wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM, Wanachama wa saba(7) vijana wenye sifa waliteuliwa, idadi kubwa ya walioteuliwa haikunishangaza kwani chama chetu kina vijana wengi makini.

Nilijiridhisha zaidi na ukomavu na umakini chama changu baada ya kuona uteuzi wa ndugu SIMON MATHIAS KIPALA kwa nafasi ya Uenyekiti wa UVCCM. Nilijiuliza ni yule Simon Mathias Kipala tuliyekua tunamuhitaji UVCCM? Nilihisi sauti kubwa ya vijana ikiitikia LAA ASHA NDIYE....

Kwa nini awe yeye?
1. Chama kinahitaji kiongozi kijana na msomi hatuna shaka na Elimu yako wala chembe ya wasiwasi juu ya umri wako.

2. Chama kinahitaji kiongozi mwenye mahusiano mazuri vijana ndani na nje chama, ndani na nje ya mipaka ya nchi
, shaka tuliondoa ukiwa na umri usizidi miaka 25 uliweza kutuunganisha vijana wa Uganda,Kenya Rwanda ,Ghana na nchi baadhi bara la ulaya

3.Chama kinahitaji kiongozi muadilifu na muaminifu, haya tumeyaona ukiyatekeleza kwa vitendo ukiwa kwenye maisha yako ya kawaida, kwenye uongozi wako UDSM, utumishi wako ndani ccm

4.Chama kinahitji kiongozi mzoefu, tunaendelea kushuhudia uzoefu wako wa uongozi ukiwa Rais wa UDSM, Mwenyekiti wa TAHIRISO, mtumishi wa CCM Makuu~ Dodoma.

5.Chama kinahitaji kiongozi mbunifu na mpenda Maendeleo, tumeyaona ukitoa maandiko mbalimbali yanayokishauri namna gani chama kitainua na kukuza uchumi wake yenye lengo la kuongeza ufanisi kwenye shughuli zake, haya tuliyaona ukiwa Katibu Msaididi Mwanza~Ukerewe

Lengo la Chama Cha Mapinduzi ni kushinda chaguzi na kuunda serikali ni vema sasa tukaunga mkono viongozi wenye Wasikivu, wazalendo, wanakubali kukosolewa, waadilifu na waaminifu na wabunifu.

Simion Mathias Kipala chama kimekuamini utendaji wako. Vijana tupo nyuma yako,TUNAHITAJI KUIONA UVCCM MPYA..

MAUMA
MARA~MUSOMA
 
Enyi CCM, Mafisadi na Wala rushwa. Ni lini mtaacha kututia umaskini? Ni lini mtaondoka mfie kusikojulikana, ni lini mtaacha kuwanyonya watanzania?
Enyi vinyonga msiokwisha kubadili rangi huku mmejaa sumu kali mtakufa lini?
 
Enyi CCM, Mafisadi na Wala rushwa. Ni lini mtaacha kututia umaskini? Ni lini mtaondoka mfie kusikojulikana, ni lini mtaacha kuwanyonya watanzania?
Enyi vinyonga msiokwisha kubadili rangi huku mmejaa sumu kali mtakufa lini?
Ewe mji.nga na mpumba.vu usiye na akili... Ni lini utazinduka na kuanza ku_take responsibility ya maendeleo kwenye maisha yako?
 
hivi usahama wa taifa wanaruhusiwa kushiriki siasa za upinzani au ni CCM pekee? (Nawaza tu kama mlevi)
 
Inamana huyu Kipala ni mtu wa system (eagle wing - k/nyama) au
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni Cha Kongwe Afrika na Dunia huwezi kukitofautisha na chama kama Communist Party of China(CPC) na African National Congress(ANC) cha Aftica Kusini. Pamoja na ukongwe kwa umri ni chama chenye historia ya kusimamia maamuzi magumu na yenye tija kwa Taifa.

Chama Cha Mapinduzi kina utaratibu wa kufanya uchaguzi ndani ya chama kila baada ya miaka mitano, hii inaendelea kuonyesha ukomavu wa chama hichi kidemokrasia

Kwa sasa idadi kubwa ya watanzania ni vijana ni zaidi ya 65% ya watanzania wote, chama kilitambua umuhimu wa vijana ndani ya CCM kwa kuanzisha na Jumuiya ya vijana (UVCCM) yenye lengo lengo la kuwafikia vijana wote wa kitanzania kuwasikiliza na kutatua changamoto zao hii ni kutokana na umuhimu wa kundi hili katika ujenzi wa Taifa letu.

Pamoja na kuwepo kwa jumuiya zingine kama UWT na WAZAZI ndani ya CCM, Jumuiya ya vijana ndiyo tegemeo kubwa kwa CCM kulingana na rika, uwezo na nguvu za kufanya kazi.

Halmashauri Kuu ya CCM iliyoketi tarehe 21/11/2017 ilifanya uteuzi wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM, Wanachama wa saba(7) vijana wenye sifa waliteuliwa, idadi kubwa ya walioteuliwa haikunishangaza kwani chama chetu kina vijana wengi makini.

Nilijiridhisha zaidi na ukomavu na umakini chama changu baada ya kuona uteuzi wa ndugu SIMON MATHIAS KIPALA kwa nafasi ya Uenyekiti wa UVCCM. Nilijiuliza ni yule Simon Mathias Kipala tuliyekua tunamuhitaji UVCCM? Nilihisi sauti kubwa ya vijana ikiitikia LAA ASHA NDIYE....

Kwa nini awe yeye?
1. Chama kinahitaji kiongozi kijana na msomi hatuna shaka na Elimu yako wala chembe ya wasiwasi juu ya umri wako.

2. Chama kinahitaji kiongozi mwenye mahusiano mazuri vijana ndani na nje chama, ndani na nje ya mipaka ya nchi
, shaka tuliondoa ukiwa na umri usizidi miaka 25 uliweza kutuunganisha vijana wa Uganda,Kenya Rwanda ,Ghana na nchi baadhi bara la ulaya

3.Chama kinahitaji kiongozi muadilifu na muaminifu, haya tumeyaona ukiyatekeleza kwa vitendo ukiwa kwenye maisha yako ya kawaida, kwenye uongozi wako UDSM, utumishi wako ndani ccm

4.Chama kinahitji kiongozi mzoefu, tunaendelea kushuhudia uzoefu wako wa uongozi ukiwa Rais wa UDSM, Mwenyekiti wa TAHIRISO, mtumishi wa CCM Makuu~ Dodoma.

5.Chama kinahitaji kiongozi mbunifu na mpenda Maendeleo, tumeyaona ukitoa maandiko mbalimbali yanayokishauri namna gani chama kitainua na kukuza uchumi wake yenye lengo la kuongeza ufanisi kwenye shughuli zake, haya tuliyaona ukiwa Katibu Msaididi Mwanza~Ukerewe

Lengo la Chama Cha Mapinduzi ni kushinda chaguzi na kuunda serikali ni vema sasa tukaunga mkono viongozi wenye Wasikivu, wazalendo, wanakubali kukosolewa, waadilifu na waaminifu na wabunifu.

Simion Mathias Kipala chama kimekuamini utendaji wako. Vijana tupo nyuma yako,TUNAHITAJI KUIONA UVCCM MPYA..

MAUMA
MARA~MUSOMA
"LAA ASHA NDIYE" Unajua kiswahili wewe kweli? Kifupi ni kuwa hiyo kauli imemuengua!
 
Enyi CCM, Mafisadi na Wala rushwa. Ni lini mtaacha kututia umaskini? Ni lini mtaondoka mfie kusikojulikana, ni lini mtaacha kuwanyonya watanzania?
Enyi vinyonga msiokwisha kubadili rangi huku mmejaa sumu kali mtakufa lini?
Ewe mlalamikaji lini utaacha lawama? Lini utaamini matatizo yako ni yako, yanakuhusu na siyo ya Rais wala Serikali?
 
Laa Hasha huashiria kutokubaliana, kwa hiyo huwezi kusema laa hasha halafu ukaweka NDIO.
 
"LAA ASHA NDIYE" Unajua kiswahili wewe kweli? Kifupi ni kuwa hiyo kauli imemuengua!
Hajui Kiswahili, inaonekana Elimu yake ya Sekondari haijakaa vizuri hasa somo la lugha yetu ya Taifa. Matumizi rahisi kabisa ya namna hiyo anakosea
 
Tafuta cv ya huyu jamaa Hon. Augustino Manyanda Masele mbunge wa mbogwe ,
yaani mimi nawaza kama mlevi ,then unanijibu ? usisumbuke sana
hizi akili za pombe ya mchana nikiamka kesho kwenda shamba akili zitarudi
alamsiki!!!
 
Back
Top Bottom