Poleni na shughuli wana jamvi hivi naomba kuuliza swali kwanini watu wengi waliovumbua vitu vikubwa sana hapa duniani hupenda kuvaa nguo nyeusi mfano: Steve Jobs Rob (CEO Wa kampuni ya Apple )Rob Janoff(Graphic Desgner na Mvumbuzi wa Logo la Apple ) na wengine wengi nawasilisha