Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 27,167
- 50,658
Nipo maeneo flani hapa kuna bar nakula lunch yangu sasa hii bar bwana wadada wanavaa nguo fupi mno yani fupi.
Ila nimegundua kitu kimoja pamejaa wakaka na wababa wanaokula na wengine wanaibia ibia kunywa japo muda wa serikali wa kunywa haujafika.
Kwa jinsi wanavyoonekana hawa wakaka wanavutiwa mno na hawa mabinti jinsi walivyoumbika yani ni full kuwaangalia.
Kumbe wakaka mnapenda nguo fupi zilizoacha sehemu kubwa ya mwili wa mwanamke nje? sasa kwanini wanawake/ wake zenu mnawakataza.
Au nyie mnavutiwa na mavazi gani mwanamke akivaa unasisimkwa?
Ila nimegundua kitu kimoja pamejaa wakaka na wababa wanaokula na wengine wanaibia ibia kunywa japo muda wa serikali wa kunywa haujafika.
Kwa jinsi wanavyoonekana hawa wakaka wanavutiwa mno na hawa mabinti jinsi walivyoumbika yani ni full kuwaangalia.
Kumbe wakaka mnapenda nguo fupi zilizoacha sehemu kubwa ya mwili wa mwanamke nje? sasa kwanini wanawake/ wake zenu mnawakataza.
Au nyie mnavutiwa na mavazi gani mwanamke akivaa unasisimkwa?