UUZWAJI BETRI ZA GARI

Basi hupati hata muda wa kukuaa ukaandika info kwa upana ya bishara yako!!!

Kwa kukusaidia

Battery zako ni used au mpya?
Unapatikana wapi?
N70 bei gani?
N50 bei gani?
Ns40 bei gani?
N100 bei gani?
120 na 150 bei zake
Zina guarantee?? Mada gan??

Jumla unauza au?
 
Kwa mahitaji ya betri za gari . Bei nafuu Aina za betri. Sealed Dry cell na za maji. Saize za betri na bei ni. N 40 .75000 ,N 50 .95000, N 70. 110000, N 100 . 13000, N 120. 150000 , N 130 .160000, N 150. 180000, N 200.250000. Pata betri original kutoka nje. Kama Japan ,korea , na German. Pia zna uimara wa hali ya juu na ubora.Vilevile delivery kwa wakazi wa Dar. Hadi gari ilipo. Na warranty ni miezi mitatu .3.
Mawasiliano
MUHHIDIN RAMADHAN.
EMAIL. MURAM1994@GMAIL.COM PHONE .0713 024990
.0674 544264
.0739 024990


Thanks mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…