Nakumbuka wakati nanunua ekari 20 kwa laki 4 kipindi niko UD nilijiona lofa kweli! Na jamaa zangu wakanicheka sana. Nangoja kwa ham na mm zamu yangu ifike nipige bingo!
Pia iwe fundisho kwa vijana, unapopata kalaki - laki2, tafuta kwa kuiweka, at least fikiria next 10yrs