Uume kutosimama asubuhi

Uume kutosimama asubuhi

Han'some

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
283
Reaction score
76
-Je, kuna tatizo kama uume haujadinda wakati mwanaume yupo usingizini, na pale aamkapo asubuhi?

-Dr. Ndodi amewahi kusema kuwa NI DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME kama UUME UTAKUWA UMELALA i.e., huajadinda wakati mwanaume yupo usingizini, na pale aamkapo.

-Je, Dr. Ndodi yupo sahihi, au ilikuwa ni lugha ya biashara?

-Imekuwa, mara nyingi, kawaida kwa uume kuwa katika hali ya kuwa umesimama pale mwanaume anapokuwa usingizini, na mara tu aamkapo.

-Hii hali ya kusimama kwa uume wakati mwanaume anakuwa usingizini, na pale akiamka, hutokea hata watoto wadogo wanaokaribia kubalehe

Je, kama uume haujadinda katika nyakati hizo za kulala, na kuamka, kuna tatizo?
 
itabidi uusimamishe kwa kulala chali na kuufunga kamba uuninginize juu ya dali
 
Kama uko serious na swali la kiafya na unataka kupata jibu la kitaalam, kwanza kabisa ondoa reference za Ndodi.
 
aah! Kwanza ni kero unaamka asubuhi kitu kiko mnara hata dk 15 huku kinajua upo mwenyewe tu hakuna wa kukituliza. Wataalamu toeni na mbinu za kufanya mtu ukiamka iwe imelala
 
Tafuta ufumbuzi haraka ndugu yangu AMA sivyo nyumba yako itaanguka. Kie kie kie


Sent from my EyePhone
 
Kama haiamki asubuh shukuru mungu maana kwa huku uswaz choo ki1 wapangaji kijiji unashindwa kwenda maliwato maana muda huo bukta inakua imetengeneza kahema flan kwa mbele utatokaje? Tubadlshane
 
mnajbu kpumbavu2 wakat m2 yupo serious.mnatumia viungo gan kufikr?au masaburi,hv kwel unakaa nyuma ya pc una comment upuuz mcwe kama mna ma..b..sha
 
Katika mazingira ya kawaida si kawaida uume kutosimama asubuhi ukiachilia kwamba kama mtu amefanya sana tendo la ndoa kabla ya kulala,magonjwa nk.ambapo mtu si rahisi kuamka uume umesimama,lakini simaanishi kwamba tayari mtu huyu anaupungufu wa nguvu za kiume.

Kawaida uume husimama mara 3-5 wakati wa usiku mtu anapokuwa amelala kama sehemu ya sleeping cycle,hali hii hutokea katika stage ya rapid eye movement na ndo pia ndoto nyingi hutokea katika stage hii.Kusimama uume kunatokana na neuro reflexes zinazokuwa stimulated na hii ni kwa ajili kuongeza blood supply kwenye uume kuufanya uume uwe na afya wakati wote,na hii inawapata watoto wote pia si wale tu wanaokaribia kubalehee, na watu wazima.

Ndiyo maana akinamama wengi huwaangalia watoto asubuhi hasa wakati pia wa kukojoa kama uume unasimama.kwa vile jamii f hatujadili watu ila tunajadili mambo yenye manufaa kwa watu wote siwezi kuongelea ya Ndodi.

Hivyo kutodinda asubuhi kunaweza changiwa na baadhi ya sababu nilizotaja hapo juu yaani kama mtu amefanya tendo la ndoa usiku inamaana kwamba tayari kumekuwa na blood supply ya kutosha kwenye penis,au mtu kama ana magonjwa hasa yale chronic kama kisukari nk.
 
Kwenye msafara wa mamba na makenge nayo yamo.. So usishangae kuona makenge yanatoa majibu hayo..Nakushauri fanya mazoezi ya viuongo na mwili kwa ujumla, eat healthy, kama ni nyama kwa siku usizidishe 60g kwa siku, kula 75% vegetables, na kama huwa unafanya masturbation epuka iyo coz unaiweaken baadhi ya misuli na mishipa inayopeleka damu huko...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Katika mazingira ya kawaida si kawaida uume kutosimama asubuhi ukiachilia kwamba kama mtu amefanya sana tendo la ndoa kabla ya kulala,magonjwa nk.ambapo mtu si rahisi kuamka uume umesimama,lakini simaanishi kwamba tayari mtu huyu anaupungufu wa nguvu za kiume....


big up kwa maelezo mazuri
 
Haaahaaa Ndodi ni tapeli wa mjini umechanganyikiwa na manenoyake ya Mungu so sad;kama upungufu wa nguvu za kiume iweje saa tano ziongezeke mpaka usiku asbh zinaondoka loh;kula mboga mbga mkuu shemeji apungize mafuta kwenye chakula kula samaki waliopikwa nyumban nt bar;achana na junk drinks kunywa sana maji basi
 
Acha hiyo nenda na kwneye maombi samahan kuuliza hili kwa nia njema usiku ukilala uoti unafanya mapenzi na pengne asbh unaamka umelowa?kama ndio dat is spiritual wife asbh unamka hoi soln n maombi kwa walokole n all thebest
 
-Je, kuna tatizo kama uume haujadinda wakati mwanaume yupo usingizini, na pale aamkapo asubuhi?

-Dr. Ndodi amewahi kusema kuwa NI DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME kama UUME UTAKUWA UMELALA i.e., huajadinda wakati mwanaume yupo usingizini, na pale aamkapo...
Mkuu Han'some Mimi ninakubaliana na Dr. Ndodi aliyoyasema ikiwa unapoamka asubuhi kwenda chooni kukojowa uume wako haujasimama ni

dalili ya wewe una upungufu wa nguvu za kiume itabidi ujitibie haraka iwezekanavyo usifanye mchezo ni kweli kabisa

aliyoyasema huyo Dr. Ndodi usifuate ushauri wa baadhi ya watu humu ndani wanafanya mambo ya Joke. Ukitaka Dawa

za Nguvu ya kiume pitia Website hii hapa bonyeza hapa
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka-12.html
 
Last edited by a moderator:
aah! Kwanza ni kero unaamka asubuhi kitu kiko mnara hata dk 15 huku kinajua upo mwenyewe tu hakuna wa kukituliza. Wataalamu toeni na mbinu za kufanya mtu ukiamka iwe imelala
mhh...wenzio wanatamani wawe kama wewe....we unatamani uende kwenye matatizo.......kama unapoamka asubuhi husimamishi ujue we sio mzima.
 
Joyness kusimamisha asubuhi sio kigezo cha mtu kua mzima au mmbovu. Tujiulize swali kwanini inasimama mtu anapo amka
mhh...wenzio wanatamani wawe kama wewe....we unatamani uende kwenye matatizo.......kama unapoamka asubuhi husimamishi ujue we sio mzima.
 
Katika mazingira ya kawaida si kawaida uume kutosimama asubuhi ukiachilia kwamba kama mtu amefanya sana tendo la ndoa kabla ya kulala,magonjwa nk.ambapo mtu si rahisi kuamka uume umesimama,lakini simaanishi kwamba tayari mtu huyu anaupungufu wa nguvu za kiume....

>GOOD ANSWER.
>kwakuongezea ni kwamba mtu kabla ya kulala/mchana damu inakua na kazi kubwa hasa ktk misuli na mishipa ya tumbo kwa ajili ya usafirishaji.

>Mtu anapolala/usiku damu inapunguza majukumu na kupata nafasi ya kutembelea sehemu ambazo hazikutembelewa vya kutosha ikiwamo penis.

>Uume kutosimama unapoamka asubuhi yaweza kuwatatizo hata kama si dalili ya moja kwa moja kuonesha kwamba ni upungufu wa nguvu za kiume.

>Jichunguze yawezekana unapojamiiana Mashine usimama kwa KULEGALEGA sababu ya kutopata damu ya kutosha ili isimame vema.
 
Acha hiyo nenda na kwneye maombi samahan kuuliza hili kwa nia njema usiku ukilala uoti unafanya mapenzi na pengne asbh unaamka umelowa?kama ndio dat is spiritual wife asbh unamka hoi soln n maombi kwa walokole n all thebest
😂😂😂
 
Back
Top Bottom