Uturuki yamwangukia Rais Putin

Uturuki yamwangukia Rais Putin

Unaona sasa, bado unaendelea kukosea tu. Ni bora uwe kimya, nani anaichukua US? Na anaipeleka wapi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

ubongo wako umegota, huna jinsi. kama umeshindwa kujiongeza vitu vidogo tu kama hivyo sijui unaweza nini weye!!
 
Uturuki kupitia rais wake Erdogan imeingukia Urusi juu ya kosa lake la kutungua ndege ya kirusi na pia kusababisha kifo cha ruban wa kirusi. Erdogan ameomba msamaha wa dhati kupitia barua aliyomwandikia Rais Putin. Maelezo haya yametolewa na Peskov, msemaji wa Kremlin.

Erdogan apologizes to Putin over death of Russian pilot - Kremlin
Vladimir Putin has received a letter in which Turkish President Recep Tayyip Erdogan apologized for the death of the Russian pilot who was killed when a Russian jet was downed over the Syrian-Turkish border last November, the Kremlin said.
Erdogan expressed readiness to restore relations with Moscow, Kremlin spokesman Dmitry Peskov said on Monday.

The incident involving the downing of the Russian Su-24 bomber led to the worst deterioration of Turkish-Russian relations in recent history, with Russia describing it as a “stab in the back.”

Source:Erdogan apologizes to Putin over death of Russian pilot - Kremlin

Turkey 'sorry for downing Russian jet' - BBC News
DIPLOMACY - Turkey’s Erdoğan says ‘sorry’ over downed Russian jet

=================
Erdogan kachelewa kusoma alama za nyakati...! Hatapata urafiki aliokuwa nao kabla ya upuuzi wake alioufanya. Erdogan alidanganyika sana na ushauri wa Nyani Ngabu na kauli yake ya 'US baby!' Ambayo sasa atakuwa anasoma kama 'US baddy' ...!
Ha ha ha !
Nyani Ngabu, US baby mshauri wa Erdogan,
Ha ha ha!
 
Mimi nilishabaki kuwa mtazamaji, ninachokiona sasa hivi wanahangaika tu kwa mambo wasioyajua.
Unaona sasa, bado unaendelea kukosea tu. Ni bora uwe kimya, nani anaichukua US? Na anaipeleka wapi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nitajiongeza vipi kwenye hamna?

JF debates are like Paralympics, even if you win you are just nuts!
Worse enough everybody is an intellectual from the ivy league.
Yani kuna siku unaweza hata ukasikitika, watu hawapo kujifunza ila ushabiki tu.
Kwa mwendo huu hatutafika hata kidogo; ushabiki hauna mahakama.
 
uturuki inaingiza sh ngapi kwa mwaka kutokana na utalii kutoka russia?
inaingiza kias gani kwa kuuza mazao russia?

na pia ni secta gani inachangia pato kubwa kwa uturuki.
 
Ha ha ha ila tunahitaji Amani Syria
Amechunguza na kuona hakuna haja ya kuendelea kuua watu hovyo na alitegemea atapewa misaada kumbe wazungu ni hamnazo. Wamemuacha solemba na rundo la wakimbizi.
 
uturuki inaingiza sh ngapi kwa mwaka kutokana na utalii kutoka russia?
inaingiza kias gani kwa kuuza mazao russia?

na pia ni secta gani inachangia pato kubwa kwa uturuki.
sawa la uturuki inaingiza sh ngapi kutoka russia hilo halituhusu
uturuki inaingiza sh ngapi kwa mwaka kutokana na utalii kutoka russia?
inaingiza kias gani kwa kuuza mazao russia?

na pia ni secta gani inachangia pato kubwa kwa uturuki.
uturuki inaingiza sh ngapi kutegemea russia hilo halitusu.kinachomata ni turkey alifanya ujinga na ametambua hilo.
 
Babu sea angalau nimeona kwako kitu!
Wakati ule Uturuki anapata ujasiri wa kuangusha ndege ya Urusi alikuwa na mawazo mawili labda mbadala.
Kwanza aliwaza kuwa 'ahh! Niko kwenye mchirizi wa mafuta bwana, mimi ndio mtu wa kati kutoka syria na Iraq, biashara ni nzuri na nnaweza tengeneza pesa nyingi'
wakati huo alikuwa hajui siri ya biashara ya mafuta iko kwa muuzaji, muuzaji hasemi kirahisi na hivyo sio rahisi kupata picha ya soko.
Sasa leo kuna uzalishaji uliozidi mahitaji, uzalishaji unaosababisha mzigo usiokubalika refineries kubaki ndani ya meli ukielea juu ya maji. Huu ni mtaji, huu ni uwekezaji usioleta tija inayokubalika kwa sasa, hili ni tatizo.
Wazo la pili lilikuwa kuegemea Jumuiya ya Ulaya kama partner mpya mwenye nguvu inayoongezeka. Mwenye uwezo, watu wengi, nia ya kukua n.k
juhudi za Erdogan kujiunga na jumuiya hii kwa miaka 16 sasa zinaeleza kila kitu. Hapa napo Bundi akatua, UK ikajitoa na ramani ikashindwa kusomeka.
Huku uhusiano wake na ISIS unazidi kutokutabirika.
Hapa dawa ni kurudi kwa zimwi likujualo, marafiki wa zamani, Russia na Israel.
 
Back
Top Bottom